Nimepigwa vibao na mke wa jirani yangu kwenye kituo cha basi.

Nimepigwa vibao na mke wa jirani yangu kwenye kituo cha basi.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo
 
pole sana, huyo mwanamke stress zake anataka kukushushia wewe. kwani mumewe ni mtoto mdogo mpaka umpeleke? na wewe acha urafiki na wanaume waliooa, hususan majirani haswa wenye ndoa zenye migogoro
 
pole sana, huyo mwanamke stress zake anataka kukushushia wewe. kwani mumewe ni mtoto mdogo mpaka umpeleke? na wewe acha urafiki na wanaume waliooa, hususan majirani haswa wenye ndoa zenye migogoro

mumewe sio rafiki yangu, huwa tunasalimiana kimbalimbali tu. Na wala nilikuwa sijui kuwa huwa anakunywa brown water
 
Aisee ningekuwa mimi ningemvurunda mbaya dah...uje tu na kuanza
 
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?

Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........
 
mkuu yamekukuta makubwa,kuna ukweli ndani yake?
 
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?

Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........

hahahahahahahahahahah........
 
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo

pole sana mkuu

ila hiyo kesi haitaishia hapo mpaka kieleweke,anakugambira stupid mbele ya watu,hapana rudi home katulie then chukua hatua,naimani huyo mama bado anahasira nawe,inakubidi ukae na mume wake myaweke sawa mkuu
 
Weak women are like that. Hapo ukute mume wake alijitetea kua alikua na wewe ila hajamwambia mume wake chochote, anakurukia wewe. Ndio kama ile thread imeanzishwa eti mtu anawakanya wanawake wa JF kuchat na mume wake.
Hivi kwa nini wanaattack watu wengine na sio waume zake? after all he is the one who swore to love her forever, sio hao wanawake au jirani yake...
Pole sana Bujibuji. Umefanya sawa kutomjibu. Cha msingi wewe unajua uko clean.
 
Duh! inasikitisha sana, sasa ina maana umekubali tuhuma hizo? huoni ingekuwa ni busara kwenda kwa rafiki yako na kujadili juu ya fedheha hiyo uliyofanyiwa na mkewe?

Mimi hapa sielewi kabisa, yaani mke anaweza kuamini kabisa kuwa mumewe ambaye ni mtu mzima na akili zake timamu kwamba anaweza kushawishiwa na watu au mtu fulani kufanya jambo bila utashi wake! basi huyo hafai kuitwa mume kwani akili zake ni za kushikiwa na haiyumkini inaweza ikatokea akashawishiwa kuwa shoga na akakubali...........

ndio niko njiani naelekea kwake, ila kwanza nataka nimpitie mwenyekiti wa mtaa ili twende wote
 
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo

hii bibi ya jirani yako haiko sawa kabisa. yaani umalaya wa mumewe ufacilitate wewe?. ingekuwa vema angempiga mumewe. kwa hali yoyote ile

bujibuji waweza shikishwa adabu kwa kupigwa makofi kweli?.
pole kwa kuaibishwa anyway!. peleka hii bibi ya jirani yako kortini
 
inawezekana anakutaka kisirisiri ila we unampotezea
 
Mkuu nikilinganisha posts zako na tukio lilikutokea nahisi kama kuna ka ukweli ndani yake.
 
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande nilioko.
Aliponifikia, akanikunja shati na kuanza kunipiga vibao, nikiwa katika hali ya mshangao, watu waliokuwepo kituoni wakamshika, ndipo alipoanza kuporomosha matusi "mwacheni nimshikishe adabu, anampeleka mume wangu kunywa pombe na kumtafutia wanawake".
Watu wakamkokota, na mi nikawa naondoka kiunyonge tena kwa aibu, nyuma nilisikia watu wakisema umemkomesha nguruwe akome.
Dah... Kumbe unaweza kusingiziwa hivihivi kwa makosa ambayo hujafanya.
Lakini tunaambiwa shukuruni kwa kila jambo

mkuu una kila 7bu za kumshukuru Mungu...
ungesingiziwa umemuibia simu (kesi ya wizi) hapo town ingekuwaje??? nadhani kifo kingekuhusu...
pole sana kwa hiyo dhahama mkuu...
 
Mkuu huyo mama amekumaindi tu anatafuta upenyo wa kukuingia.
 
Back
Top Bottom