kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Katika harakati za ujana nimejikuta nachapa sana papuchi.. ila juzi kati katika kushirikisha halmashauri ya kichwa changu nikajisemea ngoja nipime ngoma nikikuta niko poa basi naanza kujitunza. Nimepima na nimekutwa niko fresh kabisa..
Ebana kuna feelings flani za huzuni na hofu unakua unazipitia pale unapokuwa unasubiri majibu ya ngoma, kuna muda nilitaka hadi kukimbia haya majibu asee.
So nimeamua kutulia kuanzia sasa wakuu.
Ebana kuna feelings flani za huzuni na hofu unakua unazipitia pale unapokuwa unasubiri majibu ya ngoma, kuna muda nilitaka hadi kukimbia haya majibu asee.
So nimeamua kutulia kuanzia sasa wakuu.