Wanapotosha sana watu hawajui kama hizo dawa zinaua figoHizi story za Ukimwi sio tishio sijui mnazitoa wapi.
Matumizi ya ARVs yanaweza pelekea kufeli kwa Figo, Ini n.k msifanye mchezo na Ukimwi jamani msipotoshe watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapotosha sana watu hawajui kama hizo dawa zinaua figoHizi story za Ukimwi sio tishio sijui mnazitoa wapi.
Matumizi ya ARVs yanaweza pelekea kufeli kwa Figo, Ini n.k msifanye mchezo na Ukimwi jamani msipotoshe watu
Ongeza watunzaji tupo tutakutunzia wala usijali!!Hatari[emoji15].... wawili hawa wananitosha aisee...na mlivyowavivu kutunza[emoji119]
🤣🤣🤣🤣 Hiyo uko wapi sasa?🥴Sio kila mtu ni mvivu, uko wapi?
Subiri miezi mitatu kisha kapime tena halafu kaa tena baada ya mitatu kapime tena ukikuta upo negative baada ya hapo ndo uchoree mstari sasa.Katika harakati za ujana nimejikuta nachapa sana papuchi..ila juzi kati katika kushirikisha halmashauri ya kichwa changu nikajisemea ngoja nipime ngoma nikikuta niko poa basi naanza kujitunza.
Nimepima na nimekutwa niko fresh kabisa..
Ebana kuna feelings flani za huzuni na hofu unakua unazipitia pale unapokua unasubiri majibu ya ngoma,kuna muda nilitaka hadi kukimbia haya majibu asee.
So nimeamua kutulia kuanzia sasa wakuu.
Hizi story za Ukimwi sio tishio sijui mnazitoa wapi.
Matumizi ya ARVs yanaweza pelekea kufeli kwa Figo, Ini n.k msifanye mchezo na Ukimwi jamani msipotoshe watu
Mara ya mwisho umepima lini ukimwi?
Unafanya research?Mara ya mwisho umepima lini ukimwi?
Funguka🤣🤣🤣🤣 Hiyo uko wapi sasa?🥴
Nakuja dar soon ,....wewe uko wapi?🤣🤣Funguka
Jitahidi urudie tena na tena kupima hadi ukutwe na mambukizi ili uanze dawa.Katika harakati za ujana nimejikuta nachapa sana papuchi.. ila juzi kati katika kushirikisha halmashauri ya kichwa changu nikajisemea ngoja nipime ngoma nikikuta niko poa basi naanza kujitunza. Nimepima na nimekutwa niko fresh kabisa..
Ebana kuna feelings flani za huzuni na hofu unakua unazipitia pale unapokuwa unasubiri majibu ya ngoma, kuna muda nilitaka hadi kukimbia haya majibu asee.
So nimeamua kutulia kuanzia sasa wakuu.
MkurangaNakuja dar soon ,....wewe uko wapi?🤣🤣
Sawa utanipokea stand ya maguMkuranga
Tuombe uzima mkuu wanguSawa utanipokea stand ya magu
AminaTuombe uzima mkuu wangu
Kwa hiyo hapo hatari inakuwa ni dawa au UKIMWI? 😂😂Hizi story za Ukimwi sio tishio sijui mnazitoa wapi.
Matumizi ya ARVs yanaweza pelekea kufeli kwa Figo, Ini n.k msifanye mchezo na Ukimwi jamani msipotoshe watu
Wahuni wengi wanatumia condomKatika harakati za kujitunza uwe makini
nakupa uzoefu, wale malaya au wahuni sijui Mungu anawanusuru vp
ila wale wanaojitunza ndio wahanga wakubwa