Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 dah da da da dahNinazo mbili. Zikifika nane natoa album
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 dah da da da dahNinazo mbili. Zikifika nane natoa album
Hi,upo karibu hapo?😂
Hi, wapi mama?Hi,upo karibu hapo?
Umeanza kupotosha jamiisiku hizi ukimwi sio tishio sana, watu wanaishi nao na wengne ukiwaona wamenenepa kama kuku wa kizungu
yapo magonjwa ya kuogopa kama homa ya ini, kansa ya mifupa, kansa ya damu, ebola, kisukari, shinikizo la damu
Hapohapo ulipo ....em nisubiri najaHi, wapi mama?
Karibu sana nakusubiriHapohapo ulipo ....em nisubiri naja
Kwa hiyo?Katika harakati za ujana nimejikuta nachapa sana papuchi..ila juzi kati katika kushirikisha halmashauri ya kichwa changu nikajisemea ngoja nipime ngoma nikikuta niko poa basi naanza kujitunza.
Nimepima na nimekutwa niko fresh kabisa..
Ebana kuna feelings flani za huzuni na hofu unakua unazipitia pale unapokua unasubiri majibu ya ngoma,kuna muda nilitaka hadi kukimbia haya majibu asee.
So nimeamua kutulia kuanzia sasa wakuu.
Utaweza kweli, maana moto wa Leo🤒 inatakiwa uwe na pumzi ndefu 🥴Karibu sana nakusubiri
Sina maelezo mengi zaidi ya kusema najiamini, we ilete hiyo timu uwanjani 😅Utaweza kweli, maana moto wa Leo🤒 inatakiwa uwe na pumzi ndefu 🥴
Umeanza kupotosha jamii
🤣🤣🤣🤣 Ivo yaan🤒 huna mbambamba👊Sina maelezo mengi zaidi ya kusema najiamini, we ilete hiyo timu uwanjani 😅
malaria ndo ugonjwa ulioua watu wengi zaidi katika historiaHuo ni mtizamo wako
Elewa hivi ukimwi sio ugonjwa ni hali ya kuwa na kingadhaifu
ila malaria inaua watu wengi kuliko ukimwi
Hizi story za Ukimwi sio tishio sijui mnazitoa wapi.siku hizi ukimwi sio tishio sana, watu wanaishi nao na wengne ukiwaona wamenenepa kama kuku wa kizungu
yapo magonjwa ya kuogopa kama homa ya ini, kansa ya mifupa, kansa ya damu, ebola, kisukari, shinikizo la damu
Leta timu hiyo nimlete mdhungu 😂🤣🤣🤣🤣 Ivo yaan🤒 huna mbambamba👊
Oyooooo,na kibaridi hiki sasa...🙆Leta timu hiyo nimlete mdhungu 😂
Ndio chenyewe kwa kilimo cha miezi 9 😊Oyooooo,na kibaridi hiki sasa...🙆
Hatari😳.... wawili hawa wananitosha aisee...na mlivyowavivu kutunza🙌Ndio chenyewe kwa kilimo cha miezi 9 😊
Sio kila mtu ni mvivu, uko wapi?Hatari😳.... wawili hawa wananitosha aisee...na mlivyowavivu kutunza🙌
Hata akitoka hatopata coz vipimo havionyeshi virusi bali upungufu wa kinga ambao yeyote anaweza jikuta na hilo tatizo bila hata kuambukizwa virusi!Hujatoka na mie weye?