Nimepita Riverside nikanusurika kudakwa

Nimepita Riverside nikanusurika kudakwa

Gaupixbrandtz

Member
Joined
May 12, 2023
Posts
6
Reaction score
15
Wazee habari zenu,

Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika mara inajikata khe si nikashuka nikasogea hadi sheri pale kupiga simu huku boda iko pembeni.

Mara si nikamuona mdada kavaa nguo fupi kaja nilipo Mkali [emoji3][emoji3][emoji3] mara ooho mambo shemeji nikamjibu poa vipi nakusikiliza nikamwambia kuna ishu nimekuja kufanya akasema poa khe kugeuka hv naona kundi la wadada kibao yaani kila rangi, kila umbo ukitaka mwembamba,mnene wewe tu nikajisema kimoyo moyo kweli watu wanafaidi mi uyo nikasepa zangu [emoji3]
 
Screenshot_20230629-155404.jpg
 
ndo huyo huyo, ila watoto wa kizazi hiki ni noma wanatukosanisha sana na wake zetu.
Alafu wanaweza sema alishawishiwa kumbe yeye mwenyewe kaupenda mkuyenge mapema kuliko elimu. Maana hakufungiwa, mwamba anaondoka na kurudi jioni nakukuta keshaandaliwa chakula cha mchana, jioni na cha usiku kupunguza uchovu wa kubeba mkaa siku nzima🤣🤣🤣
Mama mwenye nyumba hana smartphone kujua kinachoendelea kwenye vyombo vya habari, akijua muuza mkaa anatafuta chumba aanze maisha na mkewe🤣🙌
Nani wa kumlaumu?🤣🤣🤣🤣
 
Alafu wanaweza sema alishawishiwa kumbe yeye mwenyewe kaupenda mkuyenge mapema kuliko elimu. Maana hakufungiwa, mwamba anaondoka na kurudi jioni nakukuta keshaandaliwa chakula cha mchana, jioni na cha usiku kupunguza uchovu wa kubeba mkaa siku nzima🤣🤣🤣
Mama mwenye nyumba hana smartphone kujua kinachoendelea kwenye vyombo vya habari, akijua muuza mkaa anatafuta chumba aanze maisha na mkewe🤣🙌
Nani wa kumlaumu?🤣🤣🤣🤣
hapo ni hakuna wa kumlaumu kaliyataka mwenyewe.
 
Wazee habari zenu,

Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika mara inajikata khe si nikashuka nikasogea hadi sheri pale kupiga simu huku boda iko pembeni.

Mara si nikamuona mdada kavaa nguo fupi kaja nilipo Mkali [emoji3][emoji3][emoji3] mara ooho mambo shemeji nikamjibu poa vipi nakusikiliza nikamwambia kuna ishu nimekuja kufanya akasema poa khe kugeuka hv naona kundi la wadada kibao yaani kila rangi, kila umbo ukitaka mwembamba,mnene wewe tu nikajisema kimoyo moyo kweli watu wanafaidi mi uyo nikasepa zangu [emoji3]
Halafu ukakimbia! Cha,unamfahamu Mendy?
 
Alafu wanaweza sema alishawishiwa kumbe yeye mwenyewe kaupenda mkuyenge mapema kuliko elimu. Maana hakufungiwa, mwamba anaondoka na kurudi jioni nakukuta keshaandaliwa chakula cha mchana, jioni na cha usiku kupunguza uchovu wa kubeba mkaa siku nzima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mwenye nyumba hana smartphone kujua kinachoendelea kwenye vyombo vya habari, akijua muuza mkaa anatafuta chumba aanze maisha na mkewe[emoji1787][emoji119]
Nani wa kumlaumu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimechekaa km mwenda wazimu, watu mna maneno nyie, khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimechekaa km mwenda wazimu, watu mna maneno nyie, khaaah
Hahaha haya mambo lazima tuyaangazie katika corners mbalimbali sweetheart. Ila hapa We were just making some jockes tu😃😃
 
Back
Top Bottom