Gaupixbrandtz
Member
- May 12, 2023
- 6
- 15
Wazee habari zenu,
Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika mara inajikata khe si nikashuka nikasogea hadi sheri pale kupiga simu huku boda iko pembeni.
Mara si nikamuona mdada kavaa nguo fupi kaja nilipo Mkali [emoji3][emoji3][emoji3] mara ooho mambo shemeji nikamjibu poa vipi nakusikiliza nikamwambia kuna ishu nimekuja kufanya akasema poa khe kugeuka hv naona kundi la wadada kibao yaani kila rangi, kila umbo ukitaka mwembamba,mnene wewe tu nikajisema kimoyo moyo kweli watu wanafaidi mi uyo nikasepa zangu [emoji3]
Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika mara inajikata khe si nikashuka nikasogea hadi sheri pale kupiga simu huku boda iko pembeni.
Mara si nikamuona mdada kavaa nguo fupi kaja nilipo Mkali [emoji3][emoji3][emoji3] mara ooho mambo shemeji nikamjibu poa vipi nakusikiliza nikamwambia kuna ishu nimekuja kufanya akasema poa khe kugeuka hv naona kundi la wadada kibao yaani kila rangi, kila umbo ukitaka mwembamba,mnene wewe tu nikajisema kimoyo moyo kweli watu wanafaidi mi uyo nikasepa zangu [emoji3]