Nimepita wilaya fulani nimeona mapungufu haya kwenye vibao anuani za makazi...

Nimepita wilaya fulani nimeona mapungufu haya kwenye vibao anuani za makazi...

Michael mbano

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2022
Posts
820
Reaction score
570
Kazi ambayo serikali imechukuwa muda kuiratibu lakini imetendeka ktk kiwango cha chini au kinachostaajabisha.

Anuani ya makazi unakuta wilaya nzima vibao vimeandikwa kwa majina ya watu hivi ilishindikana kabisa kufatilia kujuwa jina la mtaa la asili?

Au kuna watu walitaka kujitafutia umaarufu wakapenyeza rupia?
 
Niombe mfano wa anuani ya makazi kamili kwani hadi sasa sijaona specimen. Tafadhali.
 
Niombe mfano wa anuani ya makazi kamili kwani hadi sasa sijaona specimen. Tafadhali.
Amin c habari ya kutungwa.Nikiweka majina hapa bado tutakuwa tunazidi kumpaisha mtu badala ya mtaa.
 
Wivu tu, ikulu ya magogoni unajua iko mtaa gani? Barack Obama drive.
Unaijua kawawa Road? Nyerere Road, Mandela Road nk?

Sasa kama wananchi kuchangia vibao mmekataa akajitolea mtu kununua kwanini asiupe huo mtaa jina Lake?
Nasema hivi, anayemlipa mpiga ngoma ndiye huchagua wimbo.
Shika hiyo kanuni itakusaidia usiwe na makasiriko maishani
 
Mkuu hutaki majina ya watanzania wenzako kwenye vibao vya anwani vilivyoko Tanzania, unapendelea zaidi majina ya beberus
 
Kwa Tanzania majina mengi ya mtaa ni ya watu mfano Kibaha kwa Mbonde, Kimara kwa Beka, Manzese Kwa Mtogole, Mtoni kwa Aziz Ali, Kiluvya Kwa Komba, Kibaha kwa Mfipa, Tandale kwa Bi Nyau
 
Eti mahala pameandikwa Mbilinyi road.Halafu kwa mbele unakuta Mbilinyi gesti.
Huku Mazese Midizin kuna eneo linaitwa CUF wamelipa jina mtaa wa Pilot kisa kuna Pilot guest house mbili za Mkinga
 
Wenyeviti wa mitaa walipitishwa bila kupingwa na mwendazake,unategemea nini?
 

Attachments

  • 20220505_171402.jpg
    20220505_171402.jpg
    38.1 KB · Views: 10
  • 20220504_002645.jpg
    20220504_002645.jpg
    148.9 KB · Views: 12
  • 20220504_002634.jpg
    20220504_002634.jpg
    75.1 KB · Views: 10
Back
Top Bottom