Nimepita wilaya fulani nimeona mapungufu haya kwenye vibao anuani za makazi...

Nimepita wilaya fulani nimeona mapungufu haya kwenye vibao anuani za makazi...

Huku Mazese Midizin kuna eneo linaitwa CUF wamelipa jina mtaa wa Pilot kisa kuna Pilot guest house mbili za Mkinga
Hawajuwi wanamtangayi mtu biashara bila malipo.
 

Attachments

  • IMG_0117.jpg
    IMG_0117.jpg
    12.4 KB · Views: 7
Jamiiforum kuna vitoto vya fb... Mtu kaleta hoja ya msingi wewe waleta maskhara...

Maeneo yote hapa nchini, jamii yenyewe ilishayapa majina yake na yashazoeleka... Hata kama ni majina ya watu... Mfano tandale kwa tumbo...au kwa mtogole... Yaani tayari ni maarufu na hayana shida...

Sasa haka kautaratibu kwa anuani za makazi ilikuwa very simple kuregester tu yale majina yaliyokuwa yanatumika zamani basi...

Unakuta kila sehemu kila kitu kinapewa jina la nyerere, mara kilimanjaro... Yaani ili mradi kutengeneza kamrija ka upigaji... Kwa wakurugenzi na watendaji wa miji... Wale wanaotaka majina yao yawe majina ya mtaa au barabara upeleke maombi na rushwa...

Wacha wajipigie sie twaangalia... Sijui wanazidisha nini katika umri wao...
 
Wivu tu, ikulu ya magogoni unajua iko mtaa gani? Barack Obama drive.
Unaijua kawawa Road? Nyerere Road, Mandela Road nk?

Sasa kama wananchi kuchangia vibao mmekataa akajitolea mtu kununua kwanini asiupe huo mtaa jina Lake?
Nasema hivi, anayemlipa mpiga ngoma ndiye huchagua wimbo.
Shika hiyo kanuni itakusaidia usiwe na makasiriko maishani
kumbe hahahaaaa.
 
Labna Ndio waazilishi wa mtaa. Na imekuwa ikifahamika hivyo miaka Na miaka ndio maana wanaendeleza desturi hiyo. you never know
Hapana,Kuna jamaa kajenga ghorofa kubwa Sana,halijaisha bado,huo mtaa umepewa jina lake
 
Jamiiforum kuna vitoto vya fb... Mtu kaleta hoja ya msingi wewe waleta maskhara...

Maeneo yote hapa nchini, jamii yenyewe ilishayapa majina yake na yashazoeleka... Hata kama ni majina ya watu... Mfano tandale kwa tumbo...au kwa mtogole... Yaani tayari ni maarufu na hayana shida...

Sasa haka kautaratibu kwa anuani za makazi ilikuwa very simple kuregester tu yale majina yaliyokuwa yanatumika zamani basi...

Unakuta kila sehemu kila kitu kinapewa jina la nyerere, mara kilimanjaro... Yaani ili mradi kutengeneza kamrija ka upigaji... Kwa wakurugenzi na watendaji wa miji... Wale wanaotaka majina yao yawe majina ya mtaa au barabara upeleke maombi na rushwa...

Wacha wajipigie sie twaangalia... Sijui wanazidisha nini katika umri wao...
Sifa wanapata.
 
Wivu tu, ikulu ya magogoni unajua iko mtaa gani? Barack Obama drive.
Unaijua kawawa Road? Nyerere Road, Mandela Road nk?

Sasa kama wananchi kuchangia vibao mmekataa akajitolea mtu kununua kwanini asiupe huo mtaa jina Lake?
Nasema hivi, anayemlipa mpiga ngoma ndiye huchagua wimbo.
Shika hiyo kanuni itakusaidia usiwe na makasiriko maishani
Umejibu kwa mihemko, ilitolewa Budget ya kufanya hili zoezi, billions of Tsh za walipa Kodi,alafu Leo hii wewe unashabikia watu Fulani kulipia hivo vibao hujiulizi hata Budget Ile ilienda wapi
 
hata wilaya ya Karatu kuna hiyo shida, vibao vina majina ya watu aibu tupuu
 
Back
Top Bottom