Nimepokea muamala from bank tangu juzi sijui zilipotoka! Natamani kuzitumbua roho inasita

Nimepokea muamala from bank tangu juzi sijui zilipotoka! Natamani kuzitumbua roho inasita

Okay huna haja ya kujua imetoka wapi, wewe anza kutumia pesa. Labda ni gawio. Lakini kwa nini ujipe shida ya kujiuliza maswali yasiyo na majibu au huna shida na pesa, basi kazitoe uwape wenye uhitaji.
Asante. Nitatumbua mdogo mdogo maana ikifika wakati wa kulipa misuli yangu sio mizito
 
Juzi nimepokea from bank tshs 1m plus....niliziacha labda watachukua ila Kila nikicheki mzigo umo!

Yaani hizi hela zinanifanya nisilale Kwa Amani Kwa tamaa ya kutaka kuzitumia...
Nizitumbue au?

Ps. Sikua nasubiria hela kokote
Hata mimi nimepokea kiasi hicho lkn account ya Nmb au itakuwa ni sehemu ya mgao wa mwarabu
 
Juzi nimepokea from bank tshs 1m plus....niliziacha labda watachukua ila Kila nikicheki mzigo umo!

Yaani hizi hela zinanifanya nisilale Kwa Amani Kwa tamaa ya kutaka kuzitumia...
Nizitumbue au?

Ps. Sikua nasubiria hela kokote
Bila shaka mtumiaji wa CRDB
 
Juzi nimepokea from bank tshs 1m plus....niliziacha labda watachukua ila Kila nikicheki mzigo umo!

Yaani hizi hela zinanifanya nisilale Kwa Amani Kwa tamaa ya kutaka kuzitumia...
Nizitumbue au?

Ps. Sikua nasubiria hela kokote
Zitafune hayo ni mambo ya DP World wameshaanza kuonyesha makeke yao.
 
Juzi nimepokea from bank tshs 1m plus....niliziacha labda watachukua ila Kila nikicheki mzigo umo!

Yaani hizi hela zinanifanya nisilale Kwa Amani Kwa tamaa ya kutaka kuzitumia...
Nizitumbue au?

Ps. Sikua nasubiria hela kokote
Subiri mda si mrefu watakupigia uwarudishie amana yao usijali inabidi uirudishe tu[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom