BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Okay huna haja ya kujua imetoka wapi, wewe anza kutumia pesa. Labda ni gawio. Lakini kwa nini ujipe shida ya kujiuliza maswali yasiyo na majibu au huna shida na pesa, basi kazitoe uwape wenye uhitaji.Nimechiki account hela imeingia kwenye account yangu.