Mkuu mizigo yote hii inakuja na unaipokea posta? Msaada mkuu wangu
manunuzi mtandaoni!!!! acha nionekane mshamba..
'hutakaa usikie kilio kwa muoga'
hahahah yani mimi hata kufanya manunuzi ndani ya hii nchi kupitia simu sisubutu unafanya biashara njoo au mimi nikufuateMm nilikua muoga zaid yako ila Sasa naenjoy balaa. Usiamini sana kikuu[emoji23][emoji23]
Soma description usikurupuke kuangalia bei tu umeskia?Hii bei ya Iphone 14 Pro Max ni ya kweli haya?
Ni original hii simu?View attachment 2604983
SawaSoma description usikurupuke kuangalia bei tu umeskia?
Kuna store nyingine wazinguaji ukiagiza kitu wanakaa na order mpaka siku za kupokea parcel zinakaribia ndo wanaship fasta mfano hyo hapo juu tang septmber 10 bt nashukuru wiki ijayo naweza pataView attachment 2386882
Sanduku ni muhimu sana katika swala la mzigo kukufikia
Hawa wako chapu Niko mkoani napokea kwa haraka sanaNa kuhusu sehemu ya kupokea mizigo mara nyingi huwa ni kwenye ofisi za posta pale lakini wakati mwingine supplier anatumia wasafirishaji ambao hawaleti mizigo posta
Mfano mwezi huu kuna mzigo nilinunua lakini suppliers hakutumia njia ya posta na mimi nilikua sifahamu hilo kwahyo mimi nilienda posta nikawaonesha tracking number ndo wakaniambia Huo mzigo wako umepokelewa na Kampuni nyingine ya Speedaf ambayo ofisi zake zipo mikocheni so nikaenda zangu mikocheni mtaa wa Ursino nikabeba mzigo wangu
Hapo chini nimeweka tracking ya huo mzigo niliochukua juzi katiView attachment 2444038
Hello guys .Ninepigiwa simu leo kuwa mzigo wangu umefika na wameuliza nilipo ili waniletee kesho .
Swali, Je watanichaji pesa wakileta mzigo?
au ni FREE 🥲🥲🥲
Hakiki account yako tenaMsaada wakuu nataka kuagiza kitu aliexpress__ila kwenye kujaza info za account nimeweka (kadi ya airtel master card__ila wananilitea hivi) naomba msaada kwenye hili View attachment 2939696
Nahisi airtel wana tatizo,nimekutana na tatizo hilo na kujaribu mara tatu bado.imebidi nitengeneze ya mtandao mwingine chapMsaada wakuu nataka kuagiza kitu aliexpress__ila kwenye kujaza info za account nimeweka (kadi ya airtel master card__ila wananilitea hivi) naomba msaada kwenye hili View attachment 2939696
Unaweza kutumia kampuni za cargo kwasasa ni njia rahusi sana ya kuagiza mizigo.Nmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
Mkuu unaweza kuelezea namna gani nitawaunganisha muuzaji wa aliexpress na hawa safirishaji Let say Mapembelo cargo au silent oceanNadhani kwa vitu vyenye thaman kubwa ni safe kutumia hawa agents wa kuagiza mizigo wenye ofis zao hapa tanzania unaongea nae bei wanakuletea mzigo na wao ndo wanasimamia kila kitu mpaka mzigo ukufikie
Tutafute 0687746471 au njoo ofisini Mwenge Stendi Mpya, Ghorofa ya kwanza.Mkuu unaweza kuelezea namna gani nitawaunganisha muuzaji wa aliexpress na hawa safirishaji Let say Mapembelo cargo au silent ocean