SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 254
- 497
- Thread starter
-
- #41
Kila Mkoa hua una postal code zao au zip code, sasa uliingia hata google andika postal code/zipcode ya mkoa wako watakuletea, ndo uijaze hapo kwenye adress yako na namba ya simu ambyo unaitumia, means mzigo utakuja kwenye posta ya mkoa wako then wao watapiga simu kwa namba iloandikwa wakat wa shipment ya mzigoUzi mzuri mkuu umenimotivate na Mimi kuagiza hebu nielezee vizuri hapo kwenye sanduku la posta, ulikua na anuani yako yaposta personally (p.o box) au vipi? Sijaelewa hapo uliposema uliweka anuani ya posta ya morogoro.
Kwanini hukufungua desipute? Ukiibiwa kitu ni msala kwa posta wao wenyew...na mzigo usipo upata utarudishiwa hela yako kweny refund...haya mambo unatakiwa ujifunze kwanza ,hakuna kitu utaibiwa au kupoteza pesa yako..hii ni systemUsije kujaribu kulipia maana mara nyingi huko Ali au ebay au popote watakutumia mzigo wako kweli tatizo ukishaingizwa bongo wanaopokea ili kukufikishia (posta, dhl n.k) wao wakishajua ni mzigo wa thamani lazima waupige maana wanajua kabisa hauna namna ya kuwajua au ukifuatilia utachoka tu mwenyewe na kuachana nao.
Mimi nina experience na eBay. Nilikuwa naagiza vitu vya hovyo hovyo napata siku nilikuja jichanganya nikaagiza power tool set. Hapo ndio nikaja kujua kuwa sijui.
Mzigo ukifika mwenye hilo sanduku posta watamjulisha mwenye sanduku kuwa kuna mzigoUnaweza tumia sanduku LA posts LA mtu mzigo ukifika wanapiga namba zilizo juu ya parcel?
Asant mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]Hongera,hata mimi nimewahi kuagiza mzigo maramoja kupitia Aliexpress,sikupata usumbufu wowote na ulikuja mpaka posta wakanipigia simu nikaupata ukiwa kamili,ilikuwa ni bluetooth speaker...
Asante mkuu [emoji120][emoji120]Mrejesho mzuri[emoji1545][emoji1534]
[emoji1][emoji1]Agiza simu au laptop ya $1000, ndiyo utajua hujui
Akina nani?Nadhani kwa vitu vyenye thaman kubwa ni safe kutumia hawa agents wa kuagiza mizigo wenye ofis zao hapa tanzania unaongea nae bei wanakuletea mzigo na wao ndo wanasimamia kila kitu mpaka mzigo ukufikie
Kuna makampuni yanajihusisha na hizi kazi mkuu, hapa JF kuna mwamba anaitwa Mwalimu RCT pia ndo kazi zake hiziAkina nani?
Huyo ni tapeli. kuna watu hajawa-refund hela mwaka wa pili sasa.Kuna makampuni yanajihusisha na hizi kazi mkuu, hapa JF kuna mwamba anaitwa Mwalimu RCT pia ndo kazi zake hizi
@Mwl.RCTHuyo ni tapeli. kuna watu hajawa-refund hela mwaka wa pili sasa.
Okay nimeelewa Asante.Kila Mkoa hua una postal code zao au zip code, sasa uliingia hata google andika postal code/zipcode ya mkoa wako watakuletea, ndo uijaze hapo kwenye adress yako na namba ya simu ambyo unaitumia, means mzigo utakuja kwenye posta ya mkoa wako then wao watapiga simu kwa namba iloandikwa wakat wa shipment ya mzigo
postal code zinaenda mpaka levo ya kata.Kila Mkoa hua una postal code zao au zip code, sasa uliingia hata google andika postal code/zipcode ya mkoa wako watakuletea, ndo uijaze hapo kwenye adress yako na namba ya simu ambyo unaitumia, means mzigo utakuja kwenye posta ya mkoa wako then wao watapiga simu kwa namba iloandikwa wakat wa shipment ya mzigo
Kumbe ata wamatombo nao wanaweza agiza mzigo ukapokea posta....hongereni waluguruHabari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Kwan moro nzima ina matombo peke yake? [emoji23]Kumbe ata wamatombo nao wanaweza agiza mzigo ukapokea posta....hongereni waluguru
Njia nzuri ya kulipia bidhaa mtandaoni ni ipi?Umezunguka mnoo, ukihitaji msaada tafuta tukusaidie. Flash sio ya kuchukua miezi miwili njiani na unakuja kuandikia uzi. Na hiyo njia yako ya ulipaji wa pesa sio nzuri, hapo kuna makato hujatwambia.
Nitafute inboxNjia nzuri ya kulipia bidhaa mtandaoni ni ipi?
Nmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
Nitafute inbox
Inategemea na supplier uliponunua. Baadhi sio waaminifu. Ali Express ni kiunganishi tu kati yako na muuzaji. Eg. Mwaka jana August Nilinunua bidhaa mbili totauti kutoka wauzaji wawili tofauti kupitia Ali Express. Bidhaa moia ilifika Dec/2021, sababu aliyotoa supplier ni kuwa Logistic company aliyotumia kuutuma mzigo kwangu ilipoteza mzigo, hivyo nilipofuatilia sana ndio akatuma tena!!! (Ina maana nisingefuatilia ungepotea). Bidhaa ya pili mpaka leo Feb/2022 haijafika. Supplier hana jibu la kuridhisha. (Ina maana umepotea).
Na hamna wa kumdai daah hiyo risk nilipanga niagize nimeghailNdio jibu hilo