SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 254
- 497
- Thread starter
-
- #101
be blessed mkuuHiyo hapoa page yao instagram, nadhani wana app playstoreView attachment 2123965
Pamoja mkuube blessed mkuu
Sina sanduku posta mkuu, huwa naagiza tu mzigo unafikishwa ofisi ya posta ya wilaya niliyopo.Asnte mkuu kwa mrejesho, na wew unatumia sanduku la posta lako mwenyew au la mkoa ??
Kuna baadhi ya vitu huwezi pata kariakoo mfano samsung note 10 plus 512gb duos ushawahi iona kariakoo? Simu haina kodi kabisaMzee wajinga sana hawa bei zao bora ukatafte sim kariakoo [emoji23][emoji23]
Huyo jamaa ni mawenge et nifate inbox [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungetupa ABC’s tu mkuu.
Mbona ni suala la kutupa uzoefu tu kwa kuandika kuwa ni njia “X” Au fanya hivi. Inbox si itajaa? Au kuna malipo inabidi tuchangie?
Kwa mawazo yangu hawa posta wanafaa kwa mizigo midogo midogo yenye thamani ndogo, lakini kwa mizigo kama simu, tv etc. miongoni wa wafanyakazi wa posta sio waaminifu unaweza kujikuta umepoteza vitu vyako ulivyotumia gharama kubwa kuagiza.Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.View attachment 2116927
Kununua hakuna shida..kutumia sasa ndio uwaone hao mabwanaNafahamu ukitaka kutumia Drone unatakiwa upate kibari cha TCAA. Vipi Ukinunua Drone kutoka nje ya chi kuna kibari chochote unatakiwa kuwa nacho? Mwenye ufahamu plz
Simu haina shida,lakin piah hata ikitokea mzigo wako umepotea tuseme mikonon kwa posta bado utapewa refund..mzigo wako hauwez kuonekana umeupata wakat haujaupokea posta...na posta wao wanalijua hilo ukipotea mzigo ni msala kwao Tena posta masta atakiwasha hadi mzigo upatikane...mambo sio kama zamaniKwa mawazo yangu hawa posta wanafaa kwa mizigo midogo midogo yenye thamani ndogo, lakini kwa mizigo kama simu, tv etc. miongoni wa wafanyakazi wa posta sio waaminifu unaweza kujikuta umepoteza vitu vyako ulivyotumia gharama kubwa kuagiza.
Kununua unanunua bila tatizo lakini ukitaka kuitumia ukiwa Tanzania lazima uwe na kibar maalum mkuu kwa ninavyofahamu mimi.Nafahamu ukitaka kutumia Drone unatakiwa upate kibari cha TCAA. Vipi Ukinunua Drone kutoka nje ya chi kuna kibari chochote unatakiwa kuwa nacho? Mwenye ufahamu plz
AsanteKununua hakuna shida..kutumia sasa ndio uwaone hao mabwana
Nashukuru mkuuKununua unanunua bila tatizo lakini ukitaka kuitumia ukiwa Tanzania lazima uwe na kibar maalum mkuu kwa ninavyofahamu mimi.
Sawa mkuuNashukuru mkuu
Ulichukua simu ya aina ganiSio kweli nimeehiza simu zaidi ya mara 4 sijawahi kukumbana na tatizo lolote
Nipe jina la huyo supplierInategemea..kariakoo redmi note 10 inauzwa hadi 650 uko wakat aliepress simu ilikua ni 450 tu,redmi note 11 imetoka inauzwa 392k,bongo wanapiga 700 uko... Bluetooth speakers ya anker soundcore motion plus bongo 450 wakat aliepress laki 2 na 10 tu,jbl charger 5 wanauza hadi 350 wakat bongo inapigwa 600+ ,hizo item zote hakuna hela utalipia,na incase ukikutana nayo ni 2300 ikizid 5900 kama sio bure kabisa..
Hongera sanaBaada ya kuusoma huu uzi nkapata courage ya kuagiza mzigo.
Nikaingia Aliexpress chap, nkaagiza tar 02/04, ukaanza kuwa processed tar 05/04,
then tar 29/04 natumiwa ujumbe kutoka posta nkachukue mzigo wangu, tena posta wilayani kabisa huku.
Niko confident sasa kuendelea kuagiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chagua kwa meli ukiagiza kwa ndege huwa ni gharama kisa zile batteryNmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350