Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Ungetupa ABC’s tu mkuu.
Mbona ni suala la kutupa uzoefu tu kwa kuandika kuwa ni njia “X” Au fanya hivi. Inbox si itajaa? Au kuna malipo inabidi tuchangie?
Huyo jamaa ni mawenge et nifate inbox [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mawazo yangu hawa posta wanafaa kwa mizigo midogo midogo yenye thamani ndogo, lakini kwa mizigo kama simu, tv etc. miongoni wa wafanyakazi wa posta sio waaminifu unaweza kujikuta umepoteza vitu vyako ulivyotumia gharama kubwa kuagiza.
 
Kwa mawazo yangu hawa posta wanafaa kwa mizigo midogo midogo yenye thamani ndogo, lakini kwa mizigo kama simu, tv etc. miongoni wa wafanyakazi wa posta sio waaminifu unaweza kujikuta umepoteza vitu vyako ulivyotumia gharama kubwa kuagiza.
Simu haina shida,lakin piah hata ikitokea mzigo wako umepotea tuseme mikonon kwa posta bado utapewa refund..mzigo wako hauwez kuonekana umeupata wakat haujaupokea posta...na posta wao wanalijua hilo ukipotea mzigo ni msala kwao Tena posta masta atakiwasha hadi mzigo upatikane...mambo sio kama zamani
 
Kwenye gharama za shipping ; kila bidhaa/supplier huwa anaandika shipping agent wake; hilo ndio linaleta tofauti ya bei.
Wanunuzi wa mitandaoni ni muhimu sana kuzingatia shipping agent;
Kwa mfano kama unanunua bidhaa kwa nchi za Ulaya na Amerika Kaskazini wapo shipping agency zao zina gharama sana especially kama mzigo unakuja Tanzania.
 
Me naomba kufahamu mfano nataka kuagiza printer machine ya epson hivi maswala ya TRA yanaweza husika hapo?
 
Nipe jina la huyo supplier
 
Hongera sana
 
Nmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
Chagua kwa meli ukiagiza kwa ndege huwa ni gharama kisa zile battery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…