kelamnyere
Member
- May 16, 2018
- 25
- 19
Njoo nikupe shipping agent mkuuNmejaribu kuangalia kwenye laptop shipping fee zao kubwa sana yaani, kwa mfano pia nmetafuta HeatPress ya 5 in 1, machine ambayo wao wanauza $120 tu ila Shipping fee naambia $250 ukijumlasha hapo $350
Aisee na Mimi nimekuwa interested na Hawa Alibaba itabidi nikucheck mkuu Kwa maelekezo kidogoAli express ni waziristan kiasi ila shida yao ni muda wa kusafirisha mzigo .
Mm niliagiza flash kutoka Ali express ilichukua muda wa miezi 2 kunifikia.
Ila kwa sasa nashukuru nimehamia Alibaba naagiza mizigo na kunifikia chapu.
Na hasa kuhusu shipping agent mkuu maana Kuna baadhi ya bidhaa ni Bora mtu uagize tuNjoo nikupe shipping agent mkuu
Utasafirisha kwa $50 tu.
Mi pia nimepokea August 4 mwaka huu nimelipa 2350 ila mzigo niliagiza imekaa miezi 10 ndo ukafikaHabari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.
View attachment 2116927
Tumia shipping agent kama aramex MkuuUsije kujaribu kulipia maana mara nyingi huko Ali au ebay au popote watakutumia mzigo wako kweli tatizo ukishaingizwa bongo wanaopokea ili kukufikishia (posta, dhl n.k) wao wakishajua ni mzigo wa thamani lazima waupige maana wanajua kabisa hauna namna ya kuwajua au ukifuatilia utachoka tu mwenyewe na kuachana nao.
Mimi nina experience na eBay. Nilikuwa naagiza vitu vya hovyo hovyo napata siku nilikuja jichanganya nikaagiza power tool set. Hapo ndio nikaja kujua kuwa sijui.
Jamani na mie nisaidieni postal code ya dodoma nijaribu kuagiza kamzigo kwa anaejua plz [emoji120]
30-35 daysUkitumia shipping ya kulipia mzigo huchukua siku ngapi?
Alibaba ni kwa ajili ya vitu vya jumla lakini suppliers wengine wanauza hata mojaNahitaji kuagiza gaming laptop moja from Alibaba (maana nimeona zina unafuu wa Bei kidogo)
, mwenye uzoefu anijuze, taratibu zake zinakuwaje. Na je Alibaba wanauza kitu kimoja kimoja?
Alibaba ni kwa ajili ya vitu vya jumla lakini suppliers wengine wanauza hata moja
Angalia pale walipoandika MOQ(minimum order quantity) utaona
Ila kwann usitumie Aliexpress uepushe complications
Ishi nayoAliexpress nimechek nimekuta bei zake ni ghali (gaming laptop), ndio maana nikaenda kucheki alibaba. Nikakuta price zake zina unafuu
Boss naweza kukuguide, free out of any charge.....utafanya wew mwenyewe....mim ntakuwa nakupa tu maelekezo, mtendaji utakuwa ni wewe....na kwa yetote humu jukwaaniNahitaji kuagiza gaming laptop moja from Alibaba (maana nimeona zina unafuu wa Bei kidogo)
, mwenye uzoefu anijuze, taratibu zake zinakuwaje. Na je Alibaba wanauza kitu kimoja kimoja?
Mi pia nimepokea August 4 mwaka huu nimelipa 2350 ila mzigo niliagiza imekaa miezi 10 ndo ukafika
Sijajua ..ila mwngne umetumia weekmbili toka mzigo umeondoka kule nikaupata tena shipping nililipa chini ya elf mbiliNi kwa nini imetumia sikunyingi sana?
Sijajua ..ila mwngne umetumia weekmbili toka mzigo umeondoka kule nikaupata tena shipping nililipa chini ya elf mbili
Standard ni chap unapataNahitaji kuagiza kioo cha galaxy note 8 nimeona bei nafuu sana AliExpress na kwa standard shiping wanadai wiki 2 kinafika. Kumbe yaweza kuwa hata miezi 6!
Standard shipping haichelewiNahitaji kuagiza kioo cha galaxy note 8 nimeona bei nafuu sana AliExpress na kwa standard shiping wanadai wiki 2 kinafika. Kumbe yaweza kuwa hata miezi 6!