Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Boss naweza kukuguide, free out of any charge.....utafanya wew mwenyewe....mim ntakuwa nakupa tu maelekezo, mtendaji utakuwa ni wewe....na kwa yetote humu jukwaani

#0622506787...if it'll be inbox au public , pote sawa
Pamoja Mkuu ntakuchek
 
Kuna store nyingine wazinguaji ukiagiza kitu wanakaa na order mpaka siku za kupokea parcel zinakaribia ndo wanaship fasta mfano hyo hapo juu tang septmber 10 bt nashukuru wiki ijayo naweza pata
 
Kwenye adress uliweka morogoro kwa maana ya sanduku la posta ama maana kwa mfano mimi sina sanduku la posta hapo ndo nakwamaa wewe ulijazaje mkuu
 
Na kama hauna mkuu inakuaje hapo manuva mengine
Sanduku la posta sio lazima uwe nalo

Mimi sina Sanduku la posta ila nimeagiza vitu kibao na nimevipata

Wewe kwenye Addres jaza nchi uliyokuwepo ambayo ni Tanzania,jaza mkoa wako,wilaya na mtaa wako kisha malizia na zip code za eneo unalokaa umemaliza kazi
 
Na kama hauna mkuu inakuaje hapo manuva mengine
Unatumia la mkoa au wilaya. Mzigo utakapofika pale utapigiwa simu ili kuufata kwa sababu mzigo utakua na maelezo ya unapokwenda, maelezo ambayo ulijaza wakati unaagiza, maelezo ikiwemo namba ya simu
 
Kwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?
 
Unatumia la mkoa au wilaya. Mzigo utakapofika pale utapigiwa simu ili kuufata kwa sababu mzigo utakua na maelezo ya unapokwenda, maelezo ambayo ulijaza wakati unaagiza, maelezo ikiwemo namba ya simu
Kwamfano la mkoa au wilaya unalipataje mkuu ili nilitumie hilo hilo kwa eneo nilipo now
 
Kwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?
Ukishanunua bidhaa itakuwa na tracking number ambayo utaitumia kujua mzigo wako mahali ulipo kuanzia unapotoka kwa muuzaji mpaka unaingia nchini

Kwahyo mzigo ukishaingia nchini we unaenda posta kuuchukua maana wanaweza wasikupigie so usitegemee sana kupigiwa we track tu mzigo wako inatosha


Mpaka sasa nimeagiza mizigo kama saba hivi lakini kwenye hiyo saba ni mizigo miwili tu ndo ambayo nilitumiwa message nikachukue mzigo wangu mara nyingine zote nilikua na track nikiona imefika naibuka nabeba mzigo nasepa


Hapo chini Nimeweka message waliyowahi kunitumia posta

 
Kwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?
Na kuhusu sehemu ya kupokea mizigo mara nyingi huwa ni kwenye ofisi za posta pale lakini wakati mwingine supplier anatumia wasafirishaji ambao hawaleti mizigo posta


Mfano mwezi huu kuna mzigo nilinunua lakini suppliers hakutumia njia ya posta na mimi nilikua sifahamu hilo kwahyo mimi nilienda posta nikawaonesha tracking number ndo wakaniambia Huo mzigo wako umepokelewa na Kampuni nyingine ya Speedaf ambayo ofisi zake zipo mikocheni so nikaenda zangu mikocheni mtaa wa Ursino nikabeba mzigo wangu

Hapo chini nimeweka tracking ya huo mzigo niliochukua juzi kati
 
Kwenye adress uliweka morogoro kwa maana ya sanduku la posta ama maana kwa mfano mimi sina sanduku la posta hapo ndo nakwamaa wewe ulijazaje mkuu
Kwenye kipengele cha Address jaza Morogoro, kuna sehem inahitajika ujaze Postal Address au Postal Code pale andika 67,000 hiyo ndo postal code ya Mkoa, inamaana mzigo ukifika pale utapigiwa au kutumiwa meseji kwa namba ya simu ambayo uliijaza katika taarifa zako
 
V
VIPI kuhusu charges za kodi
 
Ivi izo zip code ndio kitu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…