Kama kioo agiza tu jamaa wale vitu vinavyovunjika wanakuwa waoga sana na lazima waship fasta kwenye ndegeNahitaji kuagiza kioo cha galaxy note 8 nimeona bei nafuu sana AliExpress na kwa standard shiping wanadai wiki 2 kinafika. Kumbe yaweza kuwa hata miezi 6!
Pamoja Mkuu ntakuchekBoss naweza kukuguide, free out of any charge.....utafanya wew mwenyewe....mim ntakuwa nakupa tu maelekezo, mtendaji utakuwa ni wewe....na kwa yetote humu jukwaani
#0622506787...if it'll be inbox au public , pote sawa
Kwenye adress uliweka morogoro kwa maana ya sanduku la posta ama maana kwa mfano mimi sina sanduku la posta hapo ndo nakwamaa wewe ulijazaje mkuuHabari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.
View attachment 2116927
Sanduku la posta sio lazima eehOnline mbona uhakika safi kabisa
Sanduku ni muhimu sana katika swala la mzigo kukufikiaSanduku la posta sio lazima eeh
Na kama hauna mkuu inakuaje hapo manuva mengineSanduku ni muhimu sana katika swala la mzigo kukufikia
Sanduku la posta sio lazima uwe naloNa kama hauna mkuu inakuaje hapo manuva mengine
Unatumia la mkoa au wilaya. Mzigo utakapofika pale utapigiwa simu ili kuufata kwa sababu mzigo utakua na maelezo ya unapokwenda, maelezo ambayo ulijaza wakati unaagiza, maelezo ikiwemo namba ya simuNa kama hauna mkuu inakuaje hapo manuva mengine
Kwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?Sanduku la posta sio lazima uwe nalo
Mimi sina Sanduku la posta ila nimeagiza vitu kibao na nimevipata
Wewe kwenye Addres jaza nchi uliyokuwepo ambayo ni Tanzania,jaza mkoa wako,wilaya na mtaa wako kisha malizia na zip code za eneo unalokaa umemaliza kazi
Kwamfano la mkoa au wilaya unalipataje mkuu ili nilitumie hilo hilo kwa eneo nilipo nowUnatumia la mkoa au wilaya. Mzigo utakapofika pale utapigiwa simu ili kuufata kwa sababu mzigo utakua na maelezo ya unapokwenda, maelezo ambayo ulijaza wakati unaagiza, maelezo ikiwemo namba ya simu
Ukishanunua bidhaa itakuwa na tracking number ambayo utaitumia kujua mzigo wako mahali ulipo kuanzia unapotoka kwa muuzaji mpaka unaingia nchiniKwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?
Na kuhusu sehemu ya kupokea mizigo mara nyingi huwa ni kwenye ofisi za posta pale lakini wakati mwingine supplier anatumia wasafirishaji ambao hawaleti mizigo postaKwahyo mzigo wako ukifika unapigiwa simu unaenda kuupokelea wapi posta au?
Search Google utapata majibuKwamfano la mkoa au wilaya unalipataje mkuu ili nilitumie hilo hilo kwa eneo nilipo now
Kwenye kipengele cha Address jaza Morogoro, kuna sehem inahitajika ujaze Postal Address au Postal Code pale andika 67,000 hiyo ndo postal code ya Mkoa, inamaana mzigo ukifika pale utapigiwa au kutumiwa meseji kwa namba ya simu ambayo uliijaza katika taarifa zakoKwenye adress uliweka morogoro kwa maana ya sanduku la posta ama maana kwa mfano mimi sina sanduku la posta hapo ndo nakwamaa wewe ulijazaje mkuu
VIPI kuhusu charges za kodiUkishanunua bidhaa itakuwa na tracking number ambayo utaitumia kujua mzigo wako mahali ulipo kuanzia unapotoka kwa muuzaji mpaka unaingia nchini
Kwahyo mzigo ukishaingia nchini we unaenda posta kuuchukua maana wanaweza wasikupigie so usitegemee sana kupigiwa we track tu mzigo wako inatosha
Mpaka sasa nimeagiza mizigo kama saba hivi lakini kwenye hiyo saba ni mizigo miwili tu ndo ambayo nilitumiwa message nikachukue mzigo wangu mara nyingine zote nilikua na track nikiona imefika naibuka nabeba mzigo nasepa
Hapo chini Nimeweka message waliyowahi kunitumia posta
View attachment 2444035
Ivi izo zip code ndio kitu ganiSanduku la posta sio lazima uwe nalo
Mimi sina Sanduku la posta ila nimeagiza vitu kibao na nimevipata
Wewe kwenye Addres jaza nchi uliyokuwepo ambayo ni Tanzania,jaza mkoa wako,wilaya na mtaa wako kisha malizia na zip code za eneo unalokaa umemaliza kazi
ukiingia tovuti ya TCRA wameweka Zip Code/ Postal code za kila eneo nchi nzimaIvi izo zip code ndio kitu gani
Ivi izo zip code ndio kitu gani