Asante mkuuukiingia tovuti ya TCRA wameweka Zip Code/ Postal code za kila eneo nchi nzima
Kwa mizigo niliyoagiza mm nilikua nalipia handling charges tuV
VIPI kuhusu charges za kodi
Ukiweka sanduku la posta la wilaya kuna shida?[emoji848][emoji848]Sanduku ni muhimu sana katika swala la mzigo kukufikia
Hakuna shida. Na watu wengi wanatumia masanduku ya wilaya/mkoaUkiweka sanduku la posta la wilaya kuna shida?[emoji848][emoji848]
Utakufikia.Je mzigo wangu utanifikia??
Je Inabidi ufungua Post box address yako binafsiHabari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.
Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.
Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.
Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.
Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.
Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.
Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.
Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.
View attachment 2116927
Hapana tumia Box number ya mkoa au wilaya, mzigo utakuja kwa address hiyo ukifika Posta watakucall uende kuchukua mzigo wako, Mfano morogoro Postal code yake ni 67,000Je Inabidi ufungua Post box address yako binafsi
Alibaba mara nyingi wanauza Wholesale so itategemea na muuzaji mwwnyew maana kuna wengine wanawake Minimum Quantity pc 10 au Pc 5 au hata Pc 100, na kuna Sellers wengine minimum quantity ni Pc 1 ya hyo bidhaa, Ila Ali Express wanauza kwa rejareja tu, so kwa bidhaa moja moja ni vema ukatumia AliExpressNawasalimu ndugu zangu, nataka kuagiza hii adjustable table ni site gani naweza kutumia kuagiza mfano Alibaba au Aliexpress, wenye uzoefu tafadhali. Bei yake inaanzia $140View attachment 2565120
Hivi mkuu mizigo inayokuja na ndege ikifika bongo si inapitia customs kwanza?Hizo office za customs zipo wapi?Alibaba mara nyingi wanauza Wholesale so itategemea na muuzaji mwwnyew maana kuna wengine wanawake Minimum Quantity pc 10 au Pc 5 au hata Pc 100, na kuna Sellers wengine minimum quantity ni Pc 1 ya hyo bidhaa, Ila Ali Express wanauza kwa rejareja tu, so kwa bidhaa moja moja ni vema ukatumia AliExpress
Ukishanunua bidhaa itakuwa na tracking number ambayo utaitumia kujua mzigo wako mahali ulipo kuanzia unapotoka kwa muuzaji mpaka unaingia nchini
Kwahyo mzigo ukishaingia nchini we unaenda posta kuuchukua maana wanaweza wasikupigie so usitegemee sana kupigiwa we track tu mzigo wako inatosha
Mpaka sasa nimeagiza mizigo kama saba hivi lakini kwenye hiyo saba ni mizigo miwili tu ndo ambayo nilitumiwa message nikachukue mzigo wangu mara nyingine zote nilikua na track nikiona imefika naibuka nabeba mzigo nasepa
Hapo chini Nimeweka message waliyowahi kunitumia posta
View attachment 2444035
Nimeona hapo chini UmeshapataZipcode ya posta ya mkoa wa daslam ni ngapi msaada
Utatupa mrejesho ukipokea mizigo mkuuLeo tarehe 6/4/2023 Nimeagiza bidhaa 3 from Ali express. Ngoja nione kama ntazipata🥲🥲
Courier ni Speedaf auLeo tarehe 6/4/2023 Nimeagiza bidhaa 3 from Ali express. Ngoja nione kama ntazipata🥲🥲