Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

Mwaka jana mwanzon hivi au mwaka juzi nilinunua biadhaa hiko allyexpress na hela wakakata baadaye nambiwa mzigo haupo hivyo itarudishwa hela

Kaka mpaka kesho
Hela haijawahi fika ilikiwa kitu cha thaman ya 80k+
 
Mimi nimekoseapost code ila sanduku la posta liko sawa japo sio langu.
Je mzigo wangu utanifikia??Hapa naambiwa mzigo imefika naupataje au ndio nitulie mpaka nipigiwe simu
 
Nawasalimu ndugu zangu, nataka kuagiza hii adjustable table ni site gani naweza kutumia kuagiza mfano Alibaba au Aliexpress, wenye uzoefu tafadhali. Bei yake inaanzia $140
Screenshot_20230325-162214_Instagram.jpg
 
Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu.

Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master card (GB16) na nyingine ni Case ya external hard disk.

Niliingia kwenye aliexpress nikatengeneza profile yangu na kwenye adress niliweka morogoro na nkaweka postal code ya morogoro ambyo ni 67000. Basi nkaenda kwenye kulipia bidhaa.

Malipo niliyafanya kwa kuingiza namba za Visa Card yangu ya CRDB then nkaweka security code (namba 3, zilizopo nyuma ya kadi yako) nilipomaliza basi wao wakakata kiasi cha pesa kinachohitajika moja kwa moja kutoka CRDB.

Bidhaa zangu zote nilizonunua zilikua hazizid elf 10 bei yake kwa pesa ya kitanzania na zote nilichagua za free shipping. Baada ya kuweka order ilikua mwez wa 12 mwishon nkatulia kusubiri na kila siku nlikua naingia kwenye shipped items naona progress mzigo umefika wapi.

Nmesubiria sana mpaka mwez wa kwanza ukaisha kwenye track ya mzigo wangu naona zmeshafika destination country, nikawa nasubiria.

Mpaka mwanzon mwa mwezi wa 2 kama tar 4 ivi nkapigiwa simu na Posta Mkoa Morogoro naambiwa kuna package zako 2 hapa, nkaenda pale nkapewa control number. Kila mzigo pale posta nmelipia 2350. Jumla nkalipa 4700. Nkapewa package zangu.

Bidhaa ni nzuri na hazina shida yoyote nmekua confident kuagiza mizigo kwa hawa jamaa.

View attachment 2116927
Je Inabidi ufungua Post box address yako binafsi
 
Nawasalimu ndugu zangu, nataka kuagiza hii adjustable table ni site gani naweza kutumia kuagiza mfano Alibaba au Aliexpress, wenye uzoefu tafadhali. Bei yake inaanzia $140View attachment 2565120
Alibaba mara nyingi wanauza Wholesale so itategemea na muuzaji mwwnyew maana kuna wengine wanawake Minimum Quantity pc 10 au Pc 5 au hata Pc 100, na kuna Sellers wengine minimum quantity ni Pc 1 ya hyo bidhaa, Ila Ali Express wanauza kwa rejareja tu, so kwa bidhaa moja moja ni vema ukatumia AliExpress
 
Alibaba mara nyingi wanauza Wholesale so itategemea na muuzaji mwwnyew maana kuna wengine wanawake Minimum Quantity pc 10 au Pc 5 au hata Pc 100, na kuna Sellers wengine minimum quantity ni Pc 1 ya hyo bidhaa, Ila Ali Express wanauza kwa rejareja tu, so kwa bidhaa moja moja ni vema ukatumia AliExpress
Hivi mkuu mizigo inayokuja na ndege ikifika bongo si inapitia customs kwanza?Hizo office za customs zipo wapi?

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Ukishanunua bidhaa itakuwa na tracking number ambayo utaitumia kujua mzigo wako mahali ulipo kuanzia unapotoka kwa muuzaji mpaka unaingia nchini

Kwahyo mzigo ukishaingia nchini we unaenda posta kuuchukua maana wanaweza wasikupigie so usitegemee sana kupigiwa we track tu mzigo wako inatosha


Mpaka sasa nimeagiza mizigo kama saba hivi lakini kwenye hiyo saba ni mizigo miwili tu ndo ambayo nilitumiwa message nikachukue mzigo wangu mara nyingine zote nilikua na track nikiona imefika naibuka nabeba mzigo nasepa


Hapo chini Nimeweka message waliyowahi kunitumia posta

View attachment 2444035

Zipcode ya posta ya mkoa wa daslam ni ngapi msaada
 
Postcode!


Arusha
Arusha (1865)
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam (565)
Dodoma
Dodoma (3923)
Geita
Geita (2581)
Iringa
Iringa (2289)
Kagera
Kagera (4043)
Katavi
Katavi (1028)
Kigoma
Kigoma (1862)
Kilimanjaro
Kilimanjaro (2660)
Lindi
Lindi (2870)
Manyara
Manyara (2302)
Mara
Mara (3122)
Mbeya
Mbeya (3400)
Mjini Magharibi
Mjini Magharibi (84)
Morogoro
Morogoro (4122)
Mtwara
Mtwara (3941)
Mwanza
Mwanza (4067)
Njombe
Njombe (2164)
Pemba North
Pemba North (62)
Pemba South
Pemba South (62)
Pwani
Pwani (1914)
Rukwa
Rukwa (2186)
Ruvuma
Ruvuma (4126)
Shinyanga
Shinyanga (3017)
Simiyu
Simiyu (2970)
Singida
Singida (2602)
Songwe
Songwe (1715)
Tabora
Tabora (4231)
Tanga
Tanga (5249)
Unguja North
Unguja North (62)
Unguja South
Unguja South (61)

ABOUT US
 
Back
Top Bottom