SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 254
- 497
- Thread starter
- #61
Toa Muongozo hapa mkuu mambo ya inbox yanini?Nitafute inbox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa Muongozo hapa mkuu mambo ya inbox yanini?Nitafute inbox
Njia nyingine rahisi ingia Mpesa utengeneze virtual visa card ambyo zaman walikua wanaiita master card, unapewa namba ya card, expire date na security code kabisa then unadeposit kias unachohitaj kulipia kwenye hiyo visa card yako tena kutoka kwenye mpesa yako tu unafanya malipo kabosaNjia nzuri ya kulipia bidhaa mtandaoni ni ipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una utan wa ngumi wewe,Kumbe ata wamatombo nao wanaweza agiza mzigo ukapokea posta....hongereni waluguru
Hapana mkuu izo jokes tuu muhimu maendeleo. Sasa wacha na mie niagize mzigo. Vipi unaweza agiza hadi spare parts za gari?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una utan wa ngumi wewe,
We jamaa unatakiwa ujifunze haya mambo, nani kasema hakuna wa kumdai na wakati kuna sehem ya dispute?
Unaweza kudai. Nina experience ya eBay kama kuna shida haujapata mzigo au umetumiwa product ambayo sio sawa na description iliyowekwa kwenye Website unaweza ukafungua 'Dispute" una option za kutumiwa mzigo mwengine au kuomba Refund. Nilishawahi kurudishiwa pesa yangu. Ila ilibidi nikawaambie Bank kuwa kuna refund transaction yangu, ikawa effected kwa balance.
Sasa hapo ukiingia kwenye app yap search hyo spare jina lake kama kuna suppliers wanaziuza utaziona, though sijawah kuonaa ila mara nying products zinazokuja ukiwa una peruzi app yao ni zile ambazo umekua interested sana kuzifungua so wanarecommend aina flan ya bidhaa, so cheki app yao au website search product husika uone resultsHapana mkuu izo jokes tuu muhimu maendeleo. Sasa wacha na mie niagize mzigo. Vipi unaweza agiza hadi spare parts za gari?
Mi nashangaa jamaa anajibu kwa confidence kabisa [emoji16] ndio Nikamuuliza unajua kazi ya dispute?Unaweza kudai. Nina experience ya eBay kama kuna shida haujapata mzigo au umetumiwa product ambayo sio sawa na description iliyowekwa kwenye Website unaweza ukafungua 'Dispute" una option za kutumiwa mzigo mwengine au kuomba Refund. Nilishawahi kurudishiwa pesa yangu. Ila ilibidi nikawaambie Bank kuwa kuna refund transaction yangu, ikawa effected kwa balance.
PS. Seller ana uwezo wa kujua kama mzigo kweli haujaupata. Usidhani unaweza kupokea mzigo alafu uka'claim haujapata. Sababu Wabongo sometimes miyeyusho sana. [emoji1787][emoji1787]
Sio kweliPosta hapafai
Ova
Sio lazima uwe nalo..utajaza majina yako ,namba yako ya simu na postal code ya eneo lako basi
Wewe tunakujua uko TRA nyamaza [emoji23][emoji23]Sio kweli nimeehiza simu zaidi ya mara 4 sijawahi kukumbana na tatizo lolote
@Mwl.RCT unaitwa hukuHuyo ni tapeli. kuna watu hajawa-refund hela mwaka wa pili sasa.
Jamaa hajakosea alivyosema njia unayotumia kutangaza haipo sawa,kwa faida ya wengi weka hapa kwanin mpaka ufwatwe inbox?Nitafute inbox
Sio kweli nimeehiza simu zaidi ya mara 4 sijawahi kukumbana na tatizo lolote
Endeleeni kutuma kwa njia hiyo ya jamaa.Jamaa hajakosea alivyosema njia unayotumia kutangaza haipo sawa,kwa faida ya wengi weka hapa kwanin mpaka ufwatwe inbox?
Hapana mimi mwananchi wa kawaida tu usiogopeWewe tunakujua uko TRA nyamaza [emoji23][emoji23]
Just kidding. Endelea kumulika kama kurunzi [emoji23][emoji23]Hapana mimi mwananchi wa kawaida tu usiogope