Nimepokea taarifa za kuhuzunisha kuhusu bondia Floyd Mayweather

Nimepokea taarifa za kuhuzunisha kuhusu bondia Floyd Mayweather

Wewe shabiki namba moja haujui kua jamaa alishapigana mpaka mieleka? Halafu alipigana na Big Show na akashinda, game nzima ilikua rigged.

Same shit can happen huko kwenye ufc.
Mieleka ni entertainment mengi yanayotokea uwanjani huwa yamepangwa nje ya uwanja.... reality ni kiasi kidogo sana (no wonder wanakwambia don't try this @ home) fatilia sources mbalimbali utanielewa vizuri nnachokwambia.
 
Bondia asiyepigika Floyd Money Mayweather hatimaye amekubali kufanya rematch na Conor McGregor ila safari hii haitakuwa boxing tena bali UFC kwa dau la 1 billion USD

Na hatoishia kwa Conor tu bali atapambana na mabondia wengine watatu wa UFC kwa dau lisilopungua pia 1 billion usd

Kiukweli natamani haya mapambano Floyd ayavunje tu hao jamaa wa UFC wanamtamani kweli kwa kuwa wamemshindwa kwenye boxing sasa wamemualika kwao kwa kumdanganya na dau nono na mwishoe Floyd amewakubalia.

Hizi tamaa za Floyd zimenikwaza sana mimi kama shabiki wake nambari moja ulimwenguni

Falsafa zake Floyd ipo siku zitamtokea puani , yeye husema kuwa haangalii sana kupoteza pambano yeye huangalia pesa atakazo ingiza baada ya pambano.

Lakini siku zote bwana pesa huisha ila heshima uliyojiwekea na kuitunza kamwe haiwezi kuisha au kushuka.

Sasa kwa mwendo huu naona kabisa ile record yake ya undefeated inaenda kupotea.

nimecheka, unafikiri hela tamu
 
Wewe shabiki namba moja haujui kua jamaa alishapigana mpaka mieleka? Halafu alipigana na Big Show na akashinda, game nzima ilikua rigged.

Same shit can happen huko kwenye ufc.
Alipigwa ngumi moja na big show akazima hapo hapo nakumbuka sana ile [emoji23][emoji23][emoji23]
 
NAONA FLOYD KAKATAA KUSHIRIKI
IMG_20171221_094606_062.jpg

Floyd Mayweather Denies Being in Talks with UFC, Doesn't Know What Future Holds
 
Mkuu hii comment umeandika ukiwa na akili timamu kweli?

Hivi hujui kama lile pambano lilikuwa kama maigizo tu?

Muda mwengine utumie akili za kiutu uzima kidogo kwenye kuchangia mijadala.
Big slow kama anavyoitwa siku hizi alivunjwa pua siku hiyo...
 
Usinidhalilishe kwamba haujui kiingereza au? Sasa rigged si ndiyo maana yake ile kitu ilikua maigizo?

Na ndo nasema inawezekana hata kwenye ufc ikawa hivyo hivyo.
Mkuu ukisema ilikuwa rigged unamaanisha the thing was supposed to be fair and legit. No result fixing wala haikupaswa kwa namna yeyote ile kupangwa upande fulani ushinde kwa kupanga matokeo kabla ya shindano au wakati wa shindano. Bali ashinde kwa uwezo wake mkubwa wa mbinu, guvu, akili, ujuzi na uzoefu.
 
Mkuu ukisema ilikuwa rigged unamaanisha the thing was supposed to be fair and legit. No result fixing wala haikupaswa kwa namna yeyote ile kupangwa upande fulani ushinde kwa kupanga matokeo kabla ya shindano au wakati wa shindano. Bali ashinde kwa uwezo wake mkubwa wa mbinu, guvu, akili, ujuzi na uzoefu.
Kwenye boxing/ combat sports tukisema pambano lilikua rigged tunamaanisha kuna opponent alikubali ku-dive.

Big Show alipigwa na Mayweather kwenye mieleka, sawa sawa na Sonny Liston kwa Ali.

Unadhani Big Show hakukubali ku-dive?

Kama kuna opponent kadive kwanini tusiseme kua pambano lilikua ni igizo?
 
Usinidhalilishe kwamba haujui kiingereza au? Sasa rigged si ndiyo maana yake ile kitu ilikua maigizo?

Na ndo nasema inawezekana hata kwenye ufc ikawa hivyo hivyo.
Duh! Kwa hiyo rigging ni maigizo? Unapotokea uchaguzi kisha ukasikia 'election was rigged' ina maana walifanya maigizo? Jipange tena
 
Duh! Kwa hiyo rigging ni maigizo? Unapotokea uchaguzi kisha ukasikia 'election was rigged' ina maana walifanya maigizo? Jipange tena
Baki kwenye mambo yako ya uchaguzi
Kwenye boxing/ combat sports tukisema pambano lilikua rigged tunamaanisha kuna opponent alikubali ku-dive.

Big Show alipigwa na Mayweather kwenye mieleka, sawa sawa na Sonny Liston kwa Ali.

Unadhani Big Show hakukubali ku-dive?

Kama kuna opponent kadive kwanini tusiseme kua pambano lilikua ni igizo?
 
Kwa watu tunaofuatilia ngumi kila siku na kuupenda sana mchezo huu, (ikiwemo kutanua sana misuli like i do, kuwa na big muscular body, kupiga magunia ya mchanga etc..) katika media mbali mbali, hasa You Tube kucheki records za boxing.. I tell you the truth.. MayWeather anapiga ngumi jamani.. Anapigaaaa.. Hii yote inanifanya mm kuwa fun wake #1 pia..!! Very dangerous boxer, anajua kukwepa sana, anajua kupiga very fast and on target alafu ngumi jiwe.. He is super super star..!!
.
 
Back
Top Bottom