Nimepona bawasiri; Asante Mungu

Nimepona bawasiri; Asante Mungu

Joined
Aug 21, 2021
Posts
33
Reaction score
80
Hakuna gonjwa baya kama bawasiri. Ni ugonjwa unaokera sana.

Yale manyama yanavyochungulia kwenye shimo la ikweta yanaleta ukakasi mkubwa sana licha ya madhara mengine mengi.

Ukichuchumaa linyama linafumuka. Ukienda kukata gogo linyama linafumuka. Unakuwa kama mama aliyejifungua. Shimo la ikweta linatisha sana.

Mungu awaoneshe uso wake wale wote wenye haya manyama kwenye lile shimo baya. Mkaponywe kabla mwaka haujaisha.

Nilihangaika sana, hatimaye nimepona yale manyama yote.

Haleluya! Ni janga zito.
 
Hakuna gonjwa baya kama bawasiri. Ni ugonjwa unaokera sana.

Yale manyama yanavyochungulia kwenye shimo la ikweta yanaleta ukakasi mkubwa sana licha ya madhara mengine mengi.

Ukichuchumaa linyama linafumuka. Ukienda kukata gogo linyama linafumuka. Unakuwa kama mama aliyejifungua. Shimo la ikweta linatisha sana.

Mungu awaoneshe uso wake wale wote wenye haya manyama kwenye lile shimo baya. Mkaponywe kabla mwaka haujaisha.

Nilihangaika sana, hatimaye nimepona yale manyama yote.

Haleluya! Ni janga zito.
Unataka mpaka tukuulize umetumia njia gani kupona??
Haya hatukuulizi.

Bullshit☹️
 
Hakuna gonjwa baya kama bawasiri. Ni ugonjwa unaokera sana.

Yale manyama yanavyochungulia kwenye shimo la ikweta yanaleta ukakasi mkubwa sana licha ya madhara mengine mengi.

Ukichuchumaa linyama linafumuka. Ukienda kukata gogo linyama linafumuka. Unakuwa kama mama aliyejifungua. Shimo la ikweta linatisha sana.

Mungu awaoneshe uso wake wale wote wenye haya manyama kwenye lile shimo baya. Mkaponywe kabla mwaka haujaisha.

Nilihangaika sana, hatimaye nimepona yale manyama yote.

Haleluya! Ni janga zito
Biashara matangazo sio
 
Back
Top Bottom