Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

Secret person

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
242
Reaction score
363
Habari wakuu

Kiuhalisia namshukuru Mungu sana kwa kunitoa kwenya kifungo cha kupiga punyeto kilichodumu miaka (2011 - 2021)

Kiuhalisia safari ilikuwa nzuri hapo mwanzo na niliona ni hali ya kawaida tu mpaka pale nilipoanza kushindwa kumudu kitandani nikikutana na wanawake na hii imeshanitokea kwa wanawake zaidi ya watatu hadi nikapoteza tumaini la kurudi katika hali ya kawaida ya uanaume maana nilikuwa siwezi kusimamisha kabisa.

Mwaka 2021 akili yangu ilinituma nianze kutumia Viagra kama booster na nikijua siku moja nitaacha tu. Kiukweli niliweza kumudu tendo na zaidi ya wanawake 5 kwa vipindi tofauti japo suala la kuja kuwa addiction baadaye nilikuwa nalijua.

Jambo la kushukuru ni kwasasa nimeacha Punyeto, Viagra nimeacha maana ilikuwa kwa ajili ya study yangu binafsi ya kujiponya shida ya uume kusimama.

Hivyo kwasasa nimeweza kusimamisha uume binafsi nje na msaada wa booster yoyote ile na furaha imerudi sana. Kilichobaki ni kupambana kuponya hali ya premature ejaculation iliyobaki.

Naomba msaada Wakuu kwa hili.
 
Sio viagra saikolojia imekaa sawa sasa unaweza kujiamini yale ile mentality unaweza kupiga show ya kibabe ishakujenga

Kama una tatizo tumia hata kwa michezo miwili mitatu hapo unapata confidence kingine naona we ni kijana so kawaida
 
POLE SANA MKUU ILA NA WEWE UMEZINGUA WANAWAKE WOTE HAWA PUNYETO YA NINI[emoji23][emoji23][emoji23]
Changamoto Kwanza udomo zege nilianza nikiwa mdogo Ila Kwa sasa K naipata muda wowote Kwa bure na kugharamia pia.
 
Sasa tupe kastory kamoja ka mechi uliyopiga ukajua yes hapa kidume nimepona.

Sio maneno makavu tu.

Na unogeshe story yako usiku sasa hv watoto wameshalalaa.
Iko Hivi Kwanza sikuwa na confidence kabisa na wala nilikuwa sijiamini katika Hilo nikisikia demu anakuja Gheto lazima niandae Viagra zangu na nilikuwa nazo Kwa begi uzuri Mimi ni mtu wa Afya so ni rahisi kuzipata...

Lastly week Kuna dogo kazuka Gheto kama suprise katika mkoa mmoja kuja Kwangu na muda huo nilishadhamilia kuacha haya mavitu.

Day One nimelala nae Kwa Bed Nina Hofu balaa maana najua shughuli hakuna,kweli nimeanza maromance Kwa Sana Mzee kasimama kama Dakika 5 Hamna kitu Hadi tunalala hamna shughuli uzuri dogo alikuwa period nikapotezea.

Kesho Yake Tumeanza michezo ya Romance uume Huo aisee sikuamini Ila Nikaendelea kujiamini(Mungu anisamehe) dogo alikuwa Kwa Period Ila kiuhalisia nilipiga hivyo hivyo.

Kwa sasa mnara unasoma muda wote ni mwendo wa Kugegeda Tu..bila booster Yoyote Ile kama nimeoa vile Aisee namshukuru Sana Mungu furaha imerudi confidence imerudi tena yaani wale mademu watano nilishindwa kusimamisha uume natamani turudie mechi
 
Changamoto Kwanza udomo zege nilianza nikiwa mdogo Ila Kwa sasa K naipata muda wowote Kwa bure na kugharamia pia.
Mkuu kama ulikuwa domo zege toka ukiwa mdogo ulikuwa unaponea wapi?
Maana hata kwenye uzi wa kunyatia madada wa kazi hukutupa Ushuhuda wowote [emoji3][emoji3]..

Au ndy uliponea kwa akina revola/ gardenia/ life boy na rexona.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Sio viagra saikolojia imekaa sawa sasa unaweza kujiamini yale ile mentality unaweza kupiga show ya kibabe ishakujenga

Kama una tatizo tumia hata Kwa michezo miwili mitatu hapo unapata confidence kingine naona we ni kijana so kawaida
Asante Sana mkuu na kweli Mimi nilitumia kama booster baada ya mtu mmoja kukoment kwenye Uzi Fulani so nimekuja kuconclude tutumie Sildenafil (Viagra)kama Booster Ila Usiwe addicted nazo ..zitakuharibu
 
Mkuu kama ulikuwa domo zege toka ukiwa mdogo ulikuwa unaponea wapi?
Maana hata kwenye uzi wa kunyatia madada wa kazi hukutupa Ushuhuda wowote [emoji3][emoji3]..

Au ndy uliponea kwa akina revola/ gardenia/ life boy na rexona.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mimi Punyeto walai iliniaribu...

Demu wa Kwanza kumla Alinipa mwenyewe Tu hata sikumtongoza na kilichokuwa kinanisaidia Mimi Nina kabahati Ka kuongozwa na watoto hapo ndo nilikuwa na ponea na kuna muda niliacha maana shughuli ilikuwa hamna...nikaloose confidence aisee...
 
Mimi Punyeto walai iliniaribu...

Demu wa Kwanza kumla Alinipa mwenyewe Tu hata sikumtongoza na kilichokuwa kinanisaidia Mimi Nina kabahati Ka kuongozwa na watoto hapo ndo nilikuwa na ponea na kuna muda niliacha maana shughuli ilikuwa hamna...nikaloose confidence aisee...
Jf humu wanaume wote huwa tunatongozwa na wanawake
 
Ila hii nchi inaingia shimoni
Sasa shukrani unafanyia gesti ya wapi?
Acha kujifanya muhukumu wewe kama Nani?!

Hata kama nafanya zinaa inakuhusu nini?

Unadhani ningeoa nini kama nikahisi siwezi kusimamisha.

Jf kuna vizee vinajifanya vina Busara Hatari.
 
Asante Sana mkuu na kweli Mimi nilitumia kama booster baada ya mtu mmoja kukoment kwenye Uzi Fulani so nimekuja kuconclude tutumie Sildenafil (Viagra)kama Booster Ila Usiwe addicted nazo ..zitakuharibu
Kuna chalii analo tatizo namwambia chukua viagra eti ooh sijui ntanunuaje mara sijui bei kabaki anatoa macho TU
Anaona aibu kwenda kununua
 
Kuna chalii analo tatizo namwambia chukua viagra eti ooh sijui ntanunuaje mara sijui bei kabaki anatoa macho TU
Anaona aibu kwenda kununua
Mimi nahisi hii kazi ilinisaidia japo Siku ya Kwanza sitasahau naenda kununua Dawa nimeandika Kwa karatasi Yule demu wa Pharmacy alicheka walai..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyeto haipunguzi nguvu ni saikolojia yako ndo inakutoa kwenye mstari unless uwe addicted kila muda unataka kuvitupa, na hii sio kwa nyeto tu hata kusex mara kwa mara unapomwaga kumbuka unamwaga nguvu za kimwili (kinga ya mwili).

Akili mbaya zaidi ni nguvu za kiroho pia kama hujui namna ya kuzirecover siku ukipima utajikuta HIV+, hili swala la SEX (Sacred Energy eXchange) lina mengi nyuma ya pazia sio la kuendekeza.

Sio kwa wanaume tu hata wanawake tena kwao ndo hali mbaya zaidi
 
Nyeto haipunguzi nguvu ni saikolojia yako ndo inakutoa kwenye mstari unless uwe addicted kila muda unataka kuvitupa, na hii sio kwa nyeto tu hata kusex mara kwa mara unapomwaga kumbuka unamwaga nguvu za kimwili (kinga ya mwili...
Mkuu umeandika nini Lakini!?
 
Pharmacy yoyote kubwa zinapatikana au kuna restrictions kwenye kuzinunua
Siku Hizi Hadi maduka Ya Dawa aisee...

Kuna Sildenafil, Enjoy, Viagra, Erector zote ni kundi Moja Tu...

Zinauzwa Sana wala Hazina restrictions yoyote kununua.

Japo Kwa ushauri inabidi ujue Kwanza Blood pressure yako Kwanza maana dawa zina Indications ya Kulow blood pressure
 
Back
Top Bottom