Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
We hujaelewa niniMkuu umeandika nini Lakini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hujaelewa niniMkuu umeandika nini Lakini!
Ni Buku 2 achukue Electro 50mg ya kuanzia na shauri kama ni ku boost confidence aki Kate nusu atumie 25mgKuna chalii analo tatizo namwambia chukua viagra eti ooh sijui ntanunuaje mara sijui bei kabaki anatoa macho TU
Anaona aibu kwenda kununua
Matokeo yanakuwa ni yale yale kama alietumia viagra auNi Buku 2 achukue Electro 50mg ya kuanzia na shauri kama ni ku boost confidence aki Kate nusu atumie 25mg
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio na unaweza ji control kama uja tumia tu vile .iyo njia nikwa anae taka ku boost confidenceMatokeo yanakuwa ni yale yale kama alietumia viagra au
Na tatzo la early ejaculation tunasolve vipi!?Ndio na unaweza ji control kama uja tumia tu vile .iyo njia nikwa anae taka ku boost confidence
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ipi ambayo ni common na haina madhara au addiction mbovu!?Naona umekuja kuipigia promo hiyo sildenafil hapa JF...Kamisheni unapokea kiasi gani,?
50 mg ODMkuu ulikuwa unatumia yenye gm ngapi
Actually Mimi ukiniuliza shida ya nguvu ya kiume nitakwambia ni punyeto na kutokujiamini Tu.Ivi nyie iyo punyeto huwa mnapigaje mimi mwaka wa 25 huu na nguvu azijawahi kupungua
Sema asije akawa addicted mkuuNi Buku 2 achukue Electro 50mg ya kuanzia na shauri kama ni ku boost confidence aki Kate nusu atumie 25mg
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana Kwa ujumbeNdio na unaweza ji control kama uja tumia tu vile .iyo njia nikwa anae taka ku boost confidence
Sent using Jamii Forums mobile app
Unategemeana sasaNaona umekuja kuipigia promo hiyo sildenafil hapa JF...Kamisheni unapokea kiasi gani,?
Mm ndo nipo kutatua tatizo juu ya hili aiseeNa tatzo la early ejaculation tunasolve vipi!?
Ulitumia mda gani ndio ukaacha mkuu au mara ngapiSema asije akawa addicted mkuu
Drugs zote zina kitu kinaitwa side effects na contraindications..so Kama utamua kutumia tumia Kwa lengo la kuboost amua kutumia Kwa muda mfupi Tu wala usiwe mrefu maana itakuwa addictedKwan ipi ambayo ni common na haina madhara au addiction mbovu!?
Nilianza kutumia lastly year mwezi wa 6 na nilikuwa natumia Kwa vipindi Tofauti tofauti sikuwa nafululiza maana mm nilikuwa na kutana na mwanamke Kwa plan sio emergency nimeacha rasmi mwaka huu mwezi wa Kwanza mara 10 inafika haizidi hapoUlitumia mda gani ndio ukaacha mkuu au mara ngapi
Sawa mkuu kwa iyo toka mwezi wa kwanza ulipoacha mambo yakawa safi? Na vipi ulipima pressure na mambo mengine kwanza maana nasikia lazima upate ushauri wa wataalamu kabla ya kutumia??Nilianza kutumia lastly year mwezi wa 6 na nilikuwa natumia Kwa vipindi Tofauti tofauti sikuwa nafululiza maana mm nilikuwa na kutana na mwanamke Kwa plan sio emergency nimeacha rasmi mwaka huu mwezi wa Kwanza mara 10 inafika haizidi hapo
hongera sana mkuu.Iko Hivi Kwanza sikuwa na confidence kabisa na wala nilikuwa sijiamini katika Hilo nikisikia demu anakuja Gheto lazima niandae Viagra zangu na nilikuwa nazo Kwa begi uzuri Mimi ni mtu wa Afya so ni rahisi kuzipata...
Lastly week Kuna dogo kazuka Gheto kama suprise katika mkoa mmoja kuja Kwangu na muda huo nilishadhamilia kuacha haya mavitu.
Day One nimelala nae Kwa Bed Nina Hofu balaa maana najua shughuli hakuna,kweli nimeanza maromance Kwa Sana Mzee kasimama kama Dakika 5 Hamna kitu Hadi tunalala hamna shughuli uzuri dogo alikuwa period nikapotezea.
Kesho Yake Tumeanza michezo ya Romance uume Huo aisee sikuamini Ila Nikaendelea kujiamini(Mungu anisamehe) dogo alikuwa Kwa Period Ila kiuhalisia nilipiga hivyo hivyo.
Kwa sasa mnara unasoma muda wote ni mwendo wa Kugegeda Tu..bila booster Yoyote Ile kama nimeoa vile Aisee namshukuru Sana Mungu furaha imerudi confidence imerudi tena yaani wale mademu watano nilishindwa kusimamisha uume natamani turudie mechi