Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kuna box hapa ndani full dawa zimeandikwa KAMAGRA ORAL JELLY sasa sijui ni za kupaka au kunywa maana sio vidoge.Iko Hivi Kwanza sikuwa na confidence kabisa na wala nilikuwa sijiamini katika Hilo nikisikia demu anakuja Gheto lazima niandae Viagra zangu na nilikuwa nazo Kwa begi uzuri Mimi ni mtu wa Afya so ni rahisi kuzipata...
Lastly week Kuna dogo kazuka Gheto kama suprise katika mkoa mmoja kuja Kwangu na muda huo nilishadhamilia kuacha haya mavitu.
Day One nimelala nae Kwa Bed Nina Hofu balaa maana najua shughuli hakuna,kweli nimeanza maromance Kwa Sana Mzee kasimama kama Dakika 5 Hamna kitu Hadi tunalala hamna shughuli uzuri dogo alikuwa period nikapotezea.
Kesho Yake Tumeanza michezo ya Romance uume Huo aisee sikuamini Ila Nikaendelea kujiamini(Mungu anisamehe) dogo alikuwa Kwa Period Ila kiuhalisia nilipiga hivyo hivyo.
Kwa sasa mnara unasoma muda wote ni mwendo wa Kugegeda Tu..bila booster Yoyote Ile kama nimeoa vile Aisee namshukuru Sana Mungu furaha imerudi confidence imerudi tena yaani wale mademu watano nilishindwa kusimamisha uume natamani turudie mechi
Habari wakuu
Kiuhalisia namshukuru Mungu sana kwa kunitoa kwenya kifungo cha kupiga punyeto kilichodumu miaka (2011 - 2021)
Kiuhalisia safari ilikuwa nzuri hapo mwanzo na niliona ni hali ya kawaida tu mpaka pale nilipoanza kushindwa kumudu kitandani nikikutana na wanawake na hii imeshanitokea kwa wanawake zaidi ya watatu hadi nikapoteza tumaini la kurudi katika hali ya kawaida ya uanaume maana nilikuwa siwezi kusimamisha kabisa.
Mwaka 2021 akili yangu ilinituma nianze kutumia Viagra kama booster na nikijua siku moja nitaacha tu. Kiukweli niliweza kumudu tendo na zaidi ya wanawake 5 kwa vipindi tofauti japo suala la kuja kuwa addiction baadaye nilikuwa nalijua.
Jambo la kushukuru ni kwasasa nimeacha Punyeto, Viagra nimeacha maana ilikuwa kwa ajili ya study yangu binafsi ya kujiponya shida ya uume kusimama.
Hivyo kwasasa nimeweza kusimamisha uume binafsi nje na msaada wa booster yoyote ile na furaha imerudi sana. Kilichobaki ni kupambana kuponya hali ya premature ejaculation iliyobaki.
Naomba msaada Wakuu kwa hili.
Kwa nini na amesema ameshaacha kutumia baada ya kujiona yupo fitiUtakuwa unatumia viagra maisha yako yote,na bila kutumia viagra performance yako itakuwa chin sana
Ndo hali nayo pitia now mkuu nimekuchek PMMimi Punyeto walai iliniaribu...
Demu wa Kwanza kumla Alinipa mwenyewe Tu hata sikumtongoza na kilichokuwa kinanisaidia Mimi Nina kabahati Ka kuongozwa na watoto hapo ndo nilikuwa na ponea na kuna muda niliacha maana shughuli ilikuwa hamna...nikaloose confidence aisee...
Wewe ilisababishwa na nini mkuu au ulikuwa mwanachama wa chaputaNdo hali nayo pitia now mkuu nimekuchek PM
Issue ilikuwa ni Hofu Ila nimejaribu kuitibu Kwa kawaida Ila zaidi nimeishia kuabika Tu.Pole na hongera kwa kujitubia mkuu, nadhani ilikua ni hofu tu.
Acha kujifanya unanifahamu Sana cha kuongeza Mimi ni mtu wa Afya na ninajua side effects ya Hizi Sildenafil nikupe taarifa Tu nishaacha na sina mpango wa kurudi tena.Utakuwa unatumia viagra maisha yako yote,na bila kutumia viagra performance yako itakuwa chin sana
Ajasoma Hadi mwisho ameishia kucoment Ila kiuhalisia hizi Dawa hazitakiwi ziwe sehemu ya Maisha yako zinakuwa kama booster Tu.Kwa nini na amesema ameshaacha kutumia baada ya kujiona yupo fiti
Je ulifuata ushauri wa daktari jinsi ya kutumia hivyo vidoge??Issue ilikuwa ni Hofu Ila nimejaribu kuitibu Kwa kawaida Ila zaidi nimeishia kuabika Tu.
Hadi nilipoanza kutumia hizi Viagra nikijua kuna muda Utafika nitaacha na nimeacha kweli wakuu.
Vinauza Buku 2 pharmacy vipi Vingi Sana na ukienda Faster unapata wanauza kama Kondomu Ila sio maduka Ya Dawa mengi Hayana..Je ulifuata ushauri wa daktari jinsi ya kutumia hivyo vidoge??
Na naskia vina gharama sana si ni kujitia umaskini tu mkuu??
Uzi una madini sana huu,, mkuu nmeku dm cheki inboxVinauza Buku 2 pharmacy vipi Vingi Sana na ukienda Faster unapata wanauza kama Kondomu Ila sio maduka Ya Dawa mengi Hayana..
Tahadhali hizi Dawa kiuhalisia Zinatakiwa zitumie na Mtu mwenye tatizo kubwa ya Erecticle dysfunction (uume kushindwa kusimama) ambalo ni la Muda mrefu na mara nyingi wanashauri wazee wa miaka 60.
Ila Kwa kuwa Mimi nilihitaji kupona Haikuwa na Budi Kunitumia cha kuzingatia zaidi inabidi ujue blood pressure yako kama iko chini usitumie maana hii dawa Ina Tendency ya kulower blood pressure sasa ukiwa na shida ya pressure ndo unakuta mtu kakata Moto Guest
Hivi hii viksi lotion huwa inatumikaje mkuu na bei yake ikoje ...maana naiona sana mitandaon inauzwaViksi lotion siachi ngo ngo
Hyo weka Mbali na mabinti masaa 6 upo kifuani ni pumz yako tu ukipaka Mara moja hata wiki unatumiaHivi hii viksi lotion huwa inatumikaje mkuu na bei yake ikoje ...maana naiona sana mitandaon inauzwa
Vipi unasikia utamu wa mbususu?? .. au na yenyewe ni kama vumbi la kongo dushe linakua kama limepigwa ganzi..Hyo weka Mbali na mabinti masaa 6 upo kifuani ni pumz yako tu ukipaka Mara moja hata wiki unatumia
Akikujibu nitag mkuu...isijekuwa ndo mambo yale yale ya kuupiga nusu kaputi ududu.😆Vipi unasikia utamu wa mbususu?? .. au na yenyewe ni kama vumbi la kongo dushe linakua kama limepigwa ganzi..