Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

Romance (activities zote za uandaaji before penetration) , ni kama unavyo marinate nyama kabla ya kuipika au kuichoma
 
Mkuu pole sana, kwahiyo wewe ilikua hata ukiamka asubuhi husimamishi??

Vipi ukiona upaja/kiuno/ titi saa 6 za mtoto udenda haukutoki am hupati uchu??
 
Issue ya premature ni ndogo hapo inabidi uunganishe bao.

Ile la kwanza unaunga na la pili, bao la pili i guarantee uta last hata dk 10..
Asante Sana Kwa ushauri japo Mimi kuunganisha changamoto inaanzia hapo!?
 
Kazi ni kubwa na baad ya Early first ejaculation unakua na Moto wa mchezo au unakata kabsa na uwez wa goli la pili unachukua dk ngap Tena!?
Moto unakuwepo Ila baada ya nusu saa ninaweza kuanza goli la pili Ila muda unakuwa kama ule wa mwanzo
 
Moto unakuwepo Ila baada ya nusu saa ninaweza kuanza goli la pili Ila muda unakuwa kama ule wa mwanzo
Kawaida ni kuwa baada ya goli moja kabla ya kwenda lingine huwa kuna mapumziko (recovery phase), kuna watu huwa inawaathiri kisaikolojia na kimwili pia hujikuta kuwa hawatamani tena kusex na wengine hawawezi tena kuendelea kusex. Kipindi hiki ubooooooo hauwezi kusimama , kipindi hiki kinaweza kudumu kwa dakika kadhaaa mpk masaa 24.

Kuna baadhi ya wanaume huwa tuna uwezo wa kuunganisha bao moja kwenda lingine bila ya kupumzika. Wengine hawawezi. Kutokuweza kuunganisha sio ugonjwa wala tatizo bali ndio baiolojia ya mwili wa mwanaume ilivyo.

Baada ya kumwaga kuna hormone inayoitwa prolactin hii ukimwaga nayo inatoka inafanya upate usingizi mzito na pia kutokuweza kuendelea kusex kwa dk au masaa kadhaa.Hormone hii inasaidia mwili ku-recover na kurudi katika hali ya kawaida baada ya kupoteza energy nyingi.


Kupunguza hiki kipindi cha ku-recover ili uweze kuendelea kusex inapaswa ukaoge ili kuondoa fatigue (uchovu) . Then hapo unaweza kuendelea na shughuli yako kama kawaida
 
Hii juice inaandaliwa vipi?
Chukua tikiti ,likate vipande vipande (nyama yake ya ndani) ,saga ..then kamulia na ndimu kisha unywe.

Kwa juice ya tende

Nunua tende,then zitoe kokwa zake kisha ziloweke kwenye maziwa fresh baada kama ya saa nzima hivi zitakuwa zimeshalainika hapa unaweza kusaga mchanganyiko huo na kupata smoothie .hapa unakunywa asubuhi na usiku kabla ya kulala.
 
Chukua tikiti ,likate vipande vipande (nyama yake ya ndani) ,saga ..then kamulia na ndimu kisha unywe.

Kwa juice ya tende

Nunua tende,then zitoe kokwa zake kisha ziloweke kwenye maziwa fresh baada kama ya saa nzima hivi zitakuwa zimeshalainika hapa unaweza kusaga mchanganyiko huo na kupata smoothie .hapa unakunywa asubuhi na usiku kabla ya kulala.
Poa nashukuru kiongozi
 
Nijuavyo mimi VIAGRA ni booster sina uhakika sana kama ni tiba
Sasa Booster inaweza kuwa Tiba Kwa mtu mwenye Hofu ambapo akikutana na mwanamke hawezi kusimamisha.so Mimi imenisaidia Sana katika Hilo na ndio maana nimekuja kujitolea USHUHUDA
 
Mkuu pole sana, kwahiyo wewe ilikua hata ukiamka asubuhi husimamishi??

Vipi ukiona upaja/kiuno/ titi saa 6 za mtoto udenda haukutoki am hupati uchu??
Asubuhi nasimamisha Vizuri Ila Nikikutana na mwanamke ninasimamisha kwenye Romance baada ya Hapo Hamna kitu linaendelea.
 
Back
Top Bottom