Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

mkuu kuna box hapa ndani full dawa zimeandikwa KAMAGRA ORAL JELLY sasa sijui ni za kupaka au kunywa maana sio vidoge.


Zipo kama 400 hv.
 

Utakuwa unatumia viagra maisha yako yote,na bila kutumia viagra performance yako itakuwa chin sana
 
Ndo hali nayo pitia now mkuu nimekuchek PM
 
Pole na hongera kwa kujitubia mkuu, nadhani ilikua ni hofu tu.
Issue ilikuwa ni Hofu Ila nimejaribu kuitibu Kwa kawaida Ila zaidi nimeishia kuabika Tu.

Hadi nilipoanza kutumia hizi Viagra nikijua kuna muda Utafika nitaacha na nimeacha kweli wakuu.
 
Utakuwa unatumia viagra maisha yako yote,na bila kutumia viagra performance yako itakuwa chin sana
Acha kujifanya unanifahamu Sana cha kuongeza Mimi ni mtu wa Afya na ninajua side effects ya Hizi Sildenafil nikupe taarifa Tu nishaacha na sina mpango wa kurudi tena.

Now napiga show Vizuri Tu... changamoto niliyonayo nikuwahi kufika kileleni nayo ninapambana nayo itakuwa sawa tu.
 
Kwa nini na amesema ameshaacha kutumia baada ya kujiona yupo fiti
Ajasoma Hadi mwisho ameishia kucoment Ila kiuhalisia hizi Dawa hazitakiwi ziwe sehemu ya Maisha yako zinakuwa kama booster Tu.
 
Issue ilikuwa ni Hofu Ila nimejaribu kuitibu Kwa kawaida Ila zaidi nimeishia kuabika Tu.

Hadi nilipoanza kutumia hizi Viagra nikijua kuna muda Utafika nitaacha na nimeacha kweli wakuu.
Je ulifuata ushauri wa daktari jinsi ya kutumia hivyo vidoge??

Na naskia vina gharama sana si ni kujitia umaskini tu mkuu??
 
Je ulifuata ushauri wa daktari jinsi ya kutumia hivyo vidoge??

Na naskia vina gharama sana si ni kujitia umaskini tu mkuu??
Vinauza Buku 2 pharmacy vipi Vingi Sana na ukienda Faster unapata wanauza kama Kondomu Ila sio maduka Ya Dawa mengi Hayana..

Tahadhali hizi Dawa kiuhalisia Zinatakiwa zitumie na Mtu mwenye tatizo kubwa ya Erecticle dysfunction (uume kushindwa kusimama) ambalo ni la Muda mrefu na mara nyingi wanashauri wazee wa miaka 60.

Ila Kwa kuwa Mimi nilihitaji kupona Haikuwa na Budi Kunitumia cha kuzingatia zaidi inabidi ujue blood pressure yako kama iko chini usitumie maana hii dawa Ina Tendency ya kulower blood pressure sasa ukiwa na shida ya pressure ndo unakuta mtu kakata Moto Guest
 
Uzi una madini sana huu,, mkuu nmeku dm cheki inbox
 
Njoeni PM niwauzie vumbi la Congo linafanya kazi ndani ya saa 24
 
Hyo weka Mbali na mabinti masaa 6 upo kifuani ni pumz yako tu ukipaka Mara moja hata wiki unatumia
Vipi unasikia utamu wa mbususu?? .. au na yenyewe ni kama vumbi la kongo dushe linakua kama limepigwa ganzi..
 
Vipi unasikia utamu wa mbususu?? .. au na yenyewe ni kama vumbi la kongo dushe linakua kama limepigwa ganzi..
Akikujibu nitag mkuu...isijekuwa ndo mambo yale yale ya kuupiga nusu kaputi ududu.😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…