Nimeponea chupuchupu kulipia kundi kwenye mtoko

Nimeponea chupuchupu kulipia kundi kwenye mtoko

Ahahhh anakufanya buzi anayekupenda hawezi kukufanyia hivyo
 
Mmojawapo anaweza kuwepo humu. Kama ni kweli watakusoma
 
Japo wanasema kimfaacho mtu chake hapo huna girl friend wala mke wa kuoa kaka chomoka bado mapema huyo ni mfanya biashara mchunaji kama mwanamke anaekupenda na anamalengo na ww kimaisha namanisha kuwa mkeo hawezi kufanya hivyo maana lazima anajua pesa zikikuishia kwa starehe zake atakuja kuishiVIP na ww take it and Action kwa usawa huu mwanamke anaekupenda hawezi kukuletea kundi la nyumbu wakati nyasi unaeneo la ekari moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ile hotel ulolipia ulienda kulala peke yako.?
 
Hayo yalinikuta majuzi safarini Karatu nilikapata kamchepuko tukapanga tuonane jioni kakaja na rafiki yake nikaona poa tu ila baadae wakaanza kupigiana cm anakuja mmoja baada ya mwingine... hamadi!! Wakafika watano huku wanakonyezana tu hapo nikacheka kimoyomoyo![emoji3][emoji3] hawanijui hawa mimi mtoto wa mjini hawanipati ng'o. Yakaliwa makuku hapo na mibia ya kila namna. Mimi nikaamka kama naongea na cm ndo imetoka hiyo hadi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini udanganye? Ingekuwa mimi I'd hit the nail right on the head. Unamchana live mbele ya wenzake ili ajue utoto alioufanya na aone aibu.

Mtu anayejitambua hafanyi ujinga wa namna hiyo, huna girlfriend kiongozi.
 
"Wanaume tumeumbiwa mateso"

Huna GF pale. Hilo ni jambazi sugu na wewe endelea nalo tu at your own risk.
 
Back
Top Bottom