Nimeponea chupuchupu kulipia kundi kwenye mtoko

Pole mkuu ila wanawake bwana wakitoka out wao kwa wao kila mmoja analipia matumizi yake nina amini kabisa ulivyoondoka kama waliendelea kuagiza wala msalaba haukuwa wa gf wako bali kila mmoja alilipa.

sent from kuzimu
 
Kwastaili hili kweli kupiga hatua nishida ,, MTU ushapoteza almost laki nzima na ushereee alafu bado unaona umejisaidia ???


Akili za mwanamme kweli anazijua mwenyewe.
 
sasa kama huna hela unahangaika na wanawake wa kazi gani?
 
Hiyo mbinu huwa naitumia sana.
 
65000 Kwel Kuna Watu Wanahela Na Hazina Kazi Ukienda U.s.a Mtu Akikualika Lunch Ujue Unajilipia Ok Ni Pesa Yako Una Amua Upendacho
 
Huwa nawashangaa sana wadada wanaopenda kudandia outing za watu .

Hivi hawajui kwamba wanawavurugia mazungumzo ya faragha baina ya shost yao na BF wake.

Ifike pahala wabadilike kwa kweli maana wanapeperushiana bahati hivihivi ,kwa maana mtu mwingine anakuwa amepanga amfanyie kitu kikubwa sana mpenzi wake ila kwa kuwa huyo mwanamke kafanya uswahili kwa kitendo cha kuja na lundo la marafiki basi hapo jamaa ile hamu ya kumfanyia mpenzi wake hiyo ishu aliyoipanga inamtoka na mwingine anaghairi mazima na pia kuna uwezekano hata uhusiano ukaisha siku hiyo hiyo.
 



NO; 1: HAKUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAYEWEZA KUAGIZA REDBUL 2.
 
Mm ukiniletea timu, ndio hapo utakapojua kuwa kujibebisha nilikuwa kwenye bongo movie huta amini nitakacho fanya, huu ujinga nilisha sema sita kaa niuendekeze, yaani nikualike ww then unaleta timu.

Embu wadada semeni huwa mnawazaga nini kufanya huu utumbo.

driller⛏⚒
 
Brother huyo sio girlfriend bali huyo ni mpigaji. Let me guess, anasoma kile chuo kipo pale juu sio karibu na ile club maarufu sio? Mimi hiyo ilinitokea Dodoma mwaka jana nimeenda kubeba babes Udom wakashuka 6. Nikasema poa. Nikawapeleka kwenye pizza kwa muitaliano kule Area D. Wakala wakanywa nikawarudisha. Ila watatu walilipa fadhila kwa namna yao. Yule aliyekuwa ni "wangu" alipogundua akamind. Nikamwambia uliniona buzi, imekula kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…