Timu ya Netball....!Mimi ningemchana live bila hata kufanya mchongo kwa mshikaji.. timu yake ya netiboli sio hotelini esee. Hata hivyo ulilipia
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa demu alipifa dili na mdaiwa sugu kumtekenya mifuko jamaa. Mimi nisingevumilia mangi. Yaani ingekuwa ndo mwisho wangu na yeye.Bora hata hiyo hela angebakia nayo madaiwa sugu.Naamini ni mwanaume huyo mdaiwa.Umekwenda kulisha manyang'au ambayo hata ukiwa na shida hata ya buku hayakupi.Sisi wanaume wakati mwingine bhana tunazingua.Usikute huyo jamaa ulimdai kwa karaha.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe unanioneaUnanionea sana[emoji27]
Hata wewe unanionea
Fanya km vile nilivyokuambia[emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Unanionea
Fanya km vile nilivyokuambia[emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Sitaki Kule bhanaa.Tukutane kule
Sitaki Kule bhanaa.
Kule ninakotaka mmTwende
Kule ninakotaka mm
Haya nichubili[emoji12]Twende basi
Yeye anaona kapoteza pesa kidogo wakati kuna watu wenye kipato kikubwa zaidi yake hawawezi kutumia pesa kijinga namna hiyo,ninao uhakika huyu jamaa asipobadilika atazeeka akiwa na pesa yakawaida tu kwenye akaunti.Kwastaili hili kweli kupiga hatua nishida ,, MTU ushapoteza almost laki nzima na ushereee alafu bado unaona umejisaidia ???
Akili za mwanamme kweli anazijua mwenyewe.
Sure ,,huyu mkuu asipobadilika umasikin hatokuja kuukwepa.Yeye anaona kapoteza pesa kidogo wakati kuna watu wenye kipato kikubwa zaidi yake hawawezi kutumia pesa kijinga namna hiyo,ninao uhakika huyu jamaa asipobadilika atazeeka akiwa na pesa yakawaida tu kwenye akaunti.
Ninao marafiki zangu wengi tu ambao wana akili kama mleta mada,huwa nashuhudia jinsi wanavyokuja kudharaulika katika matukio ambayo hawayategemei.
Invest whichever money you get for the sake of good end of your lifetime with your closest dependants.
Sent using Jamii Forums mobile app
alokuambia huyo ni gf wako nani? wewe ni buzi tu