Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali


Hakuna ubaya niliuliza tu nijue kitu
 
Mafuta ya zaituni, habisouda na swaum kwa wingi changanya after grind, Chua kuanzia kichwani, kwenye uti wa mgongo malizia miguuni, ni inbox jina lako nikuweke kwenye maombi, for sure najiamini kwenye maombi and then baada ya wiki mbili utujuze maendeleo, pole sana mkuu!
 
Thx
 
Pole utainuka tena.Em sema moyoni mwako "nitasimama tena" ...I swear utainuka tena.In Jesus name! Nakumbuka nilikuwa nafanyiwa operation ya kujifungua mtoto wangu kutokana na matatizo ya pressure..... pressure ilipanda sana ...nikawa nafanyiwa operation ya nusu kaputi hali haikuwa njema nikawekewa mashine ya kupumulia ...huku naongeleshwa taratibu...huku nikiitwa jina langu nasikia naitika..abee!....nikaanza jihisi usingizi nikataka kulala lakini nafsi ikaniambia ndo unakufa ivo...aisee nikaanza kuomba kimoyomoyo huku nikishindana na nini sijui....nikawa najisemea "nataka kuishi,nataka kumwona mwanangu Yesu" ....aisee ...nikasikia kuitwa tena Kwa nguvu....nikaitika ...abeee..🥺🥺🥺😰😰😰 kumbe nao walikuwa wananiangaikia ...nilishafumba macho ....ooo Jehova uinuliwe daima🙏🙏🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…