Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe shoo shoo sasa ikiwezekana ifinyie kwa ndani kabisaNdio
Acha upumbavu we dada kuwa hata na huruma pia, katika kipindi kama hiki mtu anapitia unauliza maswali ya kipumbavu subiri siku babaako akipooza umuulize kama dudu inasimama ama lahPole sana ila dudu inasimama?
Unajua hii mada inahusu nini mkuu?ndio wewe nuzulati.nikikuona moyo unafanya paaaap..Kisha mapigo yanaongeza mwendo kidogo.so nimeshindwa kuhendo.
Mkuu Mungu akikupenda hukujaribu na dhikiMaradhi hayana adabu. Hapo ndio mtu unapokata tamaa kwamba Mungu yupo kweli. Mbona kaacha kiumbe chake kitaabike hivi?
Mi sijui sipo deep kwenye maswala ya dini. Nimejiaminisha tu kwamba yupo
usiniite mkuu.ndio baby hii mada niya kumshauri ndugu yetu mwenye matatizo.....sindio mremboUnajua hii mada inahusu nini mkuu?
Mkuu nami napenda kujifunzaMkuu Mungu akikupenda hukujaribu na dhiki
Mkuu hapa duniani ni mapito , muhimu ni mbinguni.
Itafaa nini usipate shida yoyote na ukaishie kwenye lile ziwa liwakalo moto?.
Mungu amtie nguvu kiumbe wake , amkumbushe tumaini pekee la kweli ni yeye?
Tumaini lisilo na mipaka sio kwa duniani bali daima na daima
dogo acha bangeKuna wahuni wachache wanataka kubadili mada. Pumbavu zao
Hebu tujadili mada maswala ya baby waachie watoto😬usiniite mkuu.ndio baby hii mada niya kumshauri ndugu yetu mwenye matatizo.....sindio mrembo
sawa kipenda roho.ukisema wewe Mimi Nani nikupinge nauzuri wote huo..Hebu tujadili mada maswala ya baby waachie watoto😬
Farao alipigwa pigo la kwanza hakusikia la pili mpaka pigo la saba .Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Nenda kwa mwamposa utapona