Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, unganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.

Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.

Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).

Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako. Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.

Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.

Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.

MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
Kuandika koote huku kumbe unataka 5000😀
 
Ndiyo nilimpeleka kwa huyo mkorea tatizo likaonekana kwenye pingili za shingo na mishipa ya fahamu ndo maana akawa kama anapooza upande mmoja wa kulia.

Vyote amepona shida sasa imebaki kichwani anasikia kelele kama za mtu anapiga manyanga,hiyo nayo imekuwa ngumu kutoka kila dogo akienda clinic anaambiwa itaisha though ni gharama nakomaa nae maana kidogo kwa hawa jamaa nimeona kuna mwanga wa kupona
Duh...magonjwa haya ...hongereni kumpambania dogo
 
Sio kweli bwana....atapona ikigundulika shida nn..hijaona ushuhudahuko juu
Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
 
Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
Ume-mention mKorea hapo,inawezekana ni niliyemtaja mimi na mimi siyo kwamba ni mgonjwa nimesema ni ndugu yangu anatibiwa hapo lengo langu siyo mtu akaibiwe naamini yeye nae ni mtu mzima atahoji maswali ya msingi kabla hajaingia contract na jamaa kumtibu.

Ukiumwa au ukiuguza unapagawa upo sawa
 
CHIZI VITABU pole sana kwa masahibu unayopitia,naweka hapo chini namba ya simu ni doctor wa Kikorea nasikia anatibu sana mambo ya viungo hasa mishipa ya fahamu na maradhi ya kupooza(stroke)mimi nimemfahamu kupitia kwa mtu alikuwa anamtibu mkewe kwake.

Mimi pia nina mtihani nina bwana mdogo namuuguza alikuwa anasumbuliwa sana na maumivu ya kichwa na mwili kupooza upande mmoja nikampeleka kwa huyu doctor dawa zake zikamsaidia maumivu ya kichwa yamemuisha na kule kupooza kumeacha ila tatizo kichwani anasumbulia na kelele asizojua zinatoka wapi,ni gharama sana kama utaweza ku-afford nakuomba ukajaribu huko

Pole sana Mungu akusaidie 065-436-3501

Anapatikana maeneo gani?
 
Ume-mention mKorea hapo,inawezekana ni niliyemtaja mimi na mimi siyo kwamba ni mgonjwa nimesema ni ndugu yangu anatibiwa hapo lengo langu siyo mtu akaibiwe naamini yeye nae ni mtu mzima atahoji maswali ya msingi kabla hajaingia contract na jamaa kumtibu.

Ukiumwa au ukiuguza unapagawa upo sawa
Hasa sikulenga watoa ushauri kuwa ni matapeli, ni hawa matabibu wa alternative medicine ndiyo wengi wao wana utapeli bila huruma.
 
Back
Top Bottom