Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

Umepinga mpaka umesahau kushauri.
Kweli. Nilitaka kusema aone namna ya kuishi na hali yake, na hiyo pesa anayofirisiwa na MRI etc imuwezehe kuishi maisha comfortable. Magonjwa kama haya jambo zuri sana ni kujielimisha kuyahusu kadri unavyoweza. Kuishi nayo, matibabu yake na changamoto zake.
 
Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa

Sky Eclat huyu ndugu anaweza hitaji busara za waungwana kama ninyi au connections.

Nani ajuaye?

"Kizuri kula na nduguzo." --- JK.
 
Nimekupata mkuu!

Tueleweni. Hatufurahishwi na bei za hospitali kwa NHIF. Hatufurahishwi na janja janja za hospitali kwa NHIF. Hatufurahishwi NHIF kuwa kama conduit tu ya kuchukulia pesa tokea kwa watu kwenda kusikojulikana.

Kwa hakika hii kiroho safi tu. Kwanini sisi ikatuume Hivi wakati NHIF wanaolipa wao wako kimya tu?
 
Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Pole sana .yesu akusaidie pambana usichoke bila kukata tamaa. Tulimuuguza mtu wakaribu for almost six years now amepona lakin ni maombi na mazoez na dawa zisizoisha
 
Namfahamu dogo mmoja akiwa na umri around miaka 10 alipata a minor accident.

Tembeaji yake ikawa ya shida kupita maelezo kupelekea kufikishwa hospitali. Vipimo vyote MRI, X-ray vilisemekana kutoa majibu kuwa hakuwa na shida yoyote mwilini.

Ilikuwa hadi Consultant Physician - beberu aliyekuwapo alipoamua kuchukua bakora na kutaka kumcharaza kibazazi ndipo dogo alipotimua mbio kuliko mtu mwingine akitokomea kuondoka hospitalini hapo. 🤣🤣

Huyo ukawa mwisho wa ugonjwa wa dogo.

Hii mambo ya magonjwa wakati mwingine huwa kuna siri kubwa.

Jeshini wakiita malingering.
Yeah sometimes ugonjwa ni psychology ya mtu tu.

Psychological Mechanisms That Exacerbate Motion Sickness.
 
Msaaada jamani mwezi wa sita huu nimefanya matibabu ya kila aina,hospital paliponifilisi na mri scan,dawa za asili na kisuuna hadi maombi
Nakata tamaa sasa
Asubuhi ukiamka kinywa maziwa ya moto yaliyochanganywa na binzari na siku pia,please achana na soda,
 
Kaka yangu Huwa anatibu watu waliopooza, ukiona inafaa nikupe namba yake umweleze tatizo lako.
 
Duh pole sana aisee
MRI scan iko expensive… sorry vilianzaje anzaje? Ni kihosp au kidunia 🥹

Ulifanikiwa kufika Rabinnsia hosp?
Sijui kwanini uwa nina imani na kitengo cha mifupa Rabinnsia.

Mungu akuponye
Sababu hujawahi vunjika na kupelekwa MOI rufaa kutoka hapo Rabininsia
 
Hizi hospital kubwa siyo za kuziamini sana nilichogundua madokta huwa hawaendi mbali na jibu linalotoka kwenye kipimo.

Mdogo'angu ameumwa mwaka mzima nikazunguka nae hospital kubwa kasoro MNH sikufika akafanyiwa MRI majibu yakatoka hana anachoumwa aliniacha hoi doctor bingwa wa magonjwa ya mishipa pale KCMC aliposoma MRI results na kumhakikishia dogo huku akiwa macho makavu kwamba yupo fit kuliko u-fit wenyewe mwili wake hauonyeshi ishara ya maradhi yoyote lakini anayeambiwa hivyo analalamika maumivu
Dr anategemea vipimo kutoa majibu.
Majibu uliyopewa ni sahihi kabisa.
 
Dejane hajamdhihaki mtoa mada, ameuliza kwa ni ya kujua ili aelimike.
Tupunguze kupanic,
Sasa matusi hayana msaada wowote ule
 
Back
Top Bottom