Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Usiamini sana shuhuda hizi. Mtu atakwambia fulani alienda kwa fulani akapona, kuna tabibu wa kichina, wa kikorea, Ndodi, Mwamposa, wa kisuna nk nk. Wengi huwa ni wasio na huruma wanaokula pesa za watu wenye matatizo. na ukiwa mgonjwa utajaribu kila kitu kujitibu. Kama hospitali imeshindikana ni ngumu kutibika huko nje.
Mkuu unaishi ulaya au Amerika? Au sio mswahili mwenzetu!?…..ushawahi kuumwa au kuuguza kweli?