Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

Nimepooza kiuno hadi chini, msaada tafadhali

Tuwe na staha kidogo, vipo vya kufanyia dhihaka lakini si maradhi ya mtu.

Inawezekana ikawa umeuliza kwa nia ya kutaka kujua lakini hudhani si wakati muafaka kuuliza hilo swali.
Ni kama unaetia ndimu kidonda.

Anyways ni mtazamo wangu tu sina dhamira ya kujifanya nina maadili zaidi.

Hakuna ubaya niliuliza tu nijue kitu
 
Mafuta ya zaituni, habisouda na swaum kwa wingi changanya after grind, Chua kuanzia kichwani, kwenye uti wa mgongo malizia miguuni, ni inbox jina lako nikuweke kwenye maombi, for sure najiamini kwenye maombi and then baada ya wiki mbili utujuze maendeleo, pole sana mkuu!
 
Mafuta ya zaituni, habisouda na swaum kwa wingi changanya after grind, Chua kuanzia kichwani, kwenye uti wa mgongo malizia miguuni, ni inbox jina lako nikuweke kwenye maombi, for sure najiamini kwenye maombi and then baada ya wiki mbili utujuze maendeleo, pole sana mkuu!
Thx
 
Pole utainuka tena.Em sema moyoni mwako "nitasimama tena" ...I swear utainuka tena.In Jesus name! Nakumbuka nilikuwa nafanyiwa operation ya kujifungua mtoto wangu kutokana na matatizo ya pressure..... pressure ilipanda sana ...nikawa nafanyiwa operation ya nusu kaputi hali haikuwa njema nikawekewa mashine ya kupumulia ...huku naongeleshwa taratibu...huku nikiitwa jina langu nasikia naitika..abee!....nikaanza jihisi usingizi nikataka kulala lakini nafsi ikaniambia ndo unakufa ivo...aisee nikaanza kuomba kimoyomoyo huku nikishindana na nini sijui....nikawa najisemea "nataka kuishi,nataka kumwona mwanangu Yesu" ....aisee ...nikasikia kuitwa tena Kwa nguvu....nikaitika ...abeee..🥺🥺🥺😰😰😰 kumbe nao walikuwa wananiangaikia ...nilishafumba macho ....ooo Jehova uinuliwe daima🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom