Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni.
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 100,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama za
#.line nimesha Re New(Swap).
Ila Nina ihiitaji hiyo line. Ndomana nimeweka hiyo offer.
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 100,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama za
#.line nimesha Re New(Swap).
Ila Nina ihiitaji hiyo line. Ndomana nimeweka hiyo offer.