mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
mkuu ukiisha renew,ile uliyoitolea ripoti inakufa hapo hapo,haitaweza kusoma wala kufanya kazi tena.Wala sio kesi, naitaji hiyo line. Na Sina shida na Alie okota hiyo line. Nimeisha Re New lakini hiyo line jinsi ninavyoihitaaji nimetoka Uko mda huu nimewambia Vijana wa Boda Boda na Hata Wamama niliowakita Mitaa nilidondosha Simu. Hakuna kesi Ila kuipata hiyo line Ni Jambo jema kwangu
kama ni issue za kibenki nenda kaitoe tu omba kuingiza line nyingine.