Nimepoteza laini ya simu. Natoa ofa ya 100,000/= kwa mtu alieiokota

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni.

Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.

Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 100,000/=

#Nitaifuata hapo kwa Gharama za
#.line nimesha Re New(Swap).

Ila Nina ihiitaji hiyo line. Ndomana nimeweka hiyo offer.
 
Kuna mahali nimeona utatoa zawadi ya 50,000/= lakini hapa naona umeandika 100,000/=. Au ni mimi nimechanganya madesa.
 
Nida ni yangu mkuu Nisha swap naitaka hiyo line
Yeyote anaeokota simu na hana nia ya kurudisha hiyo simu huwa cha kwanza ni kutoa laini na kuitupa, ninauhakika hata huyo aliyeiokota hawezi kuipata
 
Personal baba, Kama Mtu ameokota hiyo line Hata 200K= Nampa
Daah line inanunuliwa kwa laki mbili aisee ukute sio lain inayotafutwa pana miguu inatafutwa hapo au mtu apewe kesi kabisaa..
 
Daah line inanunuliwa kwa laki mbili aisee ukute sio lain inayotafutwa pana miguu inatafutwa hapo au mtu apewe kesi kabisaa..
Wala sio kesi, naitaji hiyo line. Na Sina shida na Alie okota hiyo line. Nimeisha Re New lakini hiyo line jinsi ninavyoihitaaji nimetoka Uko mda huu nimewambia Vijana wa Boda Boda na Hata Wamama niliowakita Mitaa nilidondosha Simu. Hakuna kesi Ila kuipata hiyo line Ni Jambo jema kwangu
 
Umepanda dau tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…