Wala sio kesi, naitaji hiyo line. Na Sina shida na Alie okota hiyo line. Nimeisha Re New lakini hiyo line jinsi ninavyoihitaaji nimetoka Uko mda huu nimewambia Vijana wa Boda Boda na Hata Wamama niliowakita Mitaa nilidondosha Simu. Hakuna kesi Ila kuipata hiyo line Ni Jambo jema kwangu