Darius
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,951
- 320
Mtani cheti nimeletewa ijumaa na ochu bway nashangaa hakipo ndani na nimetafuta kote.....nitajaribu kuwasiliana na uongozi wa chuo haraka iwezekanavyo wanipe mwongozo
mtani me ya kwangu ndo kaniletea leo young babu...! Fanya kuwasiliana na uongoz wa chuo uone unasemaje!