Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

never Se me

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
702
Reaction score
1,009
Dunia imejawa na wanawake wazuri siku izi wanajiita pisi kali,
bwana weeee mimi nimepoteza uwezo wakutongoza japo izo pisi kali zipo nyingi kama Mchele wa kyela mwezi wa 6 si unajua lazima ushuke bei kwa buku kapu linajaaa ,

Na kwambia ukweli wasingekuwapo dadapoa ningepewa umakamu mwenyekiti wa CHAPUTA

Amini Amini nakwambia ata ivyo nazijua STYLE 76 za punyeto. Nikikwambia nisaidie niondokane na ili tatizo uwe serous kunisaiidia heeee.....Bwanaweeee juzi tu nusu nijinyonge asikwambie mtu iyo ni STYLE ya 21 Kwenye punyeto... unajining'iniza kitanzi uku unajipuchua wazunguu ahooooo unajining'iniza ukose pumzi eeeeeheee mbona madamu utotamani....

Bwanaweeee iyo sio story ni ivi mdogowenu nashindwa kutongoza napokutana na mwanamke kwa mara yakwanza.... jana nilikuwa mwenge warembo ni wengi ila nashindwa kumsimisha mwanamke na kuanza mazungumzo nae japo nipewe ata namba...kaka zangu ,baba na babu zangu Uwa munafanyaje.....

Je ni sahihi endapo nitakutana na mwanamke njiani nikavutiwa nae kumsimamisha na kuanza kumtongoza kama ni sahii niazaje ? Ujue kiona mwanamke mzuri yani yule mzuri naogopa ata kumsalimia.

Au nitafute pesa watakuja wenyewe bwana weeee napesa nisipo pata?
 
Vuta bangi na kunywa nyagi TAFUTA PESA MZEEE NA NDINGA KALI WATAKUJA TU
 
Mpka karne hii unatongoza vuta pembeni andika number kwenye msimbazi mpe asipokutafuta niloge
 
1.hio Avatar yako sio mchezo kwamba mmbwa kavaa miswaga
2.umenichekesha Sana kwenye kitanzi duh asee uovu unazidi kuwa mkubwa
3.la MWISHO kbs achana na mademu wa mjini Ni wajanja Kama wewe njoo bush huku uvute chombo mzee ukae na mwanamke
 
May day may day one man down.I repeat one man dow do you copy
 
anzia humu humu andaa uzi watakuja wa kutosha pm
chagua kiasi chako
 
Ukiwa domo zege, huombwi hela, hupati cityrace za mapenzi, hupati magonjwa yazinaa na ukimwi na unakua tajri.
haya mawazo yanakujia ukiwa mtu wa chaputa sn ndio maana watu wanapiga sn nakujipa moyo. ndio maana inapunguza uwezo wakujiamini na kutongoza.
 
Kiufupi hela haina uhusiano wowote kwenye kutongoza niulize mimi pamoja na u handsome wangu wote na ka gar ka bilion moja haka niliko nako naishia kuwapakia lifti tu na kusifiwa "mkaka amkalimu huyu nataman angekuwa mpenzi wangu" yaani hayo maneno nayasikia kwa jamaa baada ya kutoa lifti na sitosahau nilipoenda kwa barmed na kumtongoza nikajibiwa hela yako tu wakati lengo sio kununua mbunye asee mbarikiwe wenye vipaj vyenu vya kutongoza
 
Dunia imejawa na wanawake wazuri siku izi wanajiita pisi kali,
bwana weeee mimi nimepoteza uwezo wakutongoza japo izo pisi kali zipo nyingi kama Mchele wa kyela mwezi wa 6 si unajua lazima ushuke bei kwa buku kapu linajaaa ,

Na kwambia ukweli wasingekuwapo dadapoa ningepewa umakamu mwenyekiti wa CHAPUTA
Amini Amini nakwambia ata ivyo nazijua STYLE 76 za punyeto. Nikikwambia nisaidie niondokane na ili tatizo uwe serous kunisaiidia heeee.....Bwanaweeee juzi tu nusu nijinyonge asikwambie mtu iyo ni STYLE ya 21 Kwenye punyeto... unajining'iniza kitanzi uku unajipuchua wazunguu ahooooo unajining'iniza ukose pumzi eeeeeheee mbona madamu utotamani....
Bwanaweeee iyo sio story ni ivi mdogowenu nashindwa kutongoza napokutana na mwanamke kwa mara yakwanza.... jana nilikuwa mwenge warembo ni wengi ila nashindwa kumsimisha mwanamke na kuanza mazungumzo nae japo nipewe ata namba...kaka zangu ,baba na babu zangu Uwa munafanyaje.....
Je ni sahihi endapo nitakutana na mwanamke njiani nikavutiwa nae kumsimamisha na kuanza kumtongoza kama ni sahii niazaje ? Ujue kiona mwanamke mzuri yani yule mzuri naogopa ata kumsalimia.

Au nitafute pesa watakuja wenyewe bwana weeee napesa nisipo pata?
Level zako ni hao hao Dada poa kwahiyo endelea nao tu ,ila ongeza ubunifu KWA kuwapakia mkongo
 
Back
Top Bottom