Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

Nimepoteza uwezo wa kutongoza nisaidiwe kabla sijawa domo zege

Nauliza vipi unatongoza ,je kuna mafundisho au taaluma tujulisheni,wengine ni wale tunaongojea kaka nakupenda ,aau ata ujui ujibu vipi unamaliza na asante ndio ushamaliza,sasa embu tupeni ufundi !
 
unamwita demu halafu unamwambia KIELEWEKE utaona mwenyewe anakufata nyuma hadi gero!
 
Nauliza vipi unatongoza ,je kuna mafundisho au taaluma tujulisheni,wengine ni wale tunaongojea kaka nakupenda ,aau ata ujui ujibu vipi unamaliza na asante ndio ushamaliza,sasa embu tupeni ufundi !
Nakupa home work mkuu ukimaliza leta mrejesho.
Kasikilize Ngoma ya Ney wa mitego the true boy Ngoma iitwayo Hawakatai harafu fata mafundisho aliyo toa Ney wa mitego the true boy.
Then uje kusema neno hapa.
 
Naona tatizo hapa kuna watu mnaponda na kuzarau,inawezekana kabisa tupo kundi moja tunahitaji mistari. Sioni ajabu maana naamini kama hujapata elimu basi mtihani.jamani msibanie kuweni kama mashetani hawaingii motoni peke yao ,mwageni mambo hapa tujifunze.
 
Back
Top Bottom