Nimepoteza uwezo wa kwenda shuleni kufundisha baada ya nishati ya mafuta kupanda

Nimepoteza uwezo wa kwenda shuleni kufundisha baada ya nishati ya mafuta kupanda

Vivax

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
520
Reaction score
184
Mimi ni mwalimu
Kwa kupanda kwa nauli NIMEPOTEZA UWEZO wa kwenda shuleni kufundisha kwa siku mbili.
Naomba ushauri.
Ufafanuzi:-
Nauli ya bajaji ilikuwa sh 500/= kwenda,
Na sh 500/= kurudi.
Jumla sh 1000/= kwa siku.
Sasa nauli mpya ni sh 700/= kwenda,
Na sh 700/= kurudi.
Jumla sh 1400/=kwa siku.
Tofauti ya sh 400/= kwa siku.
Huwa naenda shuleni siku tano kwa wiki moja.
Ongezeko la sh 400/= kwa siku maana yake ni ongezeko la sh 2000/= kwa wiki.
Kwa gharama za zamani za sh 1000/=kwa siku

Ni wazi NIMEPOTEZA uwezo wa kwenda shuleni kwa siku 2 kaman nitalipa sh 1400/=kwa siku.
Hisabati
5000/1400=3....
(Siku 3)
 
Acha kuwadhalilisha walimu wewe.Kumbuka wamekufundisha ukajua kusoma na kuandika.

Utapata laana.

Hata hivyo walimu hawana ugumu wa maisha kama ambavyo unajaribu kuandika ujinga wako hapa.Wana maisha mazuri na uchumi mzuri tu.
 
Mimi ni mwalimu
Kwa kupanda kwa nauli NIMEPOTEZA UWEZO wa kwenda shuleni kufundisha kwa siku mbili.
Naomba ushauri.
Ufafanuzi:-
Nauli ya bajaji ilikuwa sh 500/= kwenda,
Na sh 500/= kurudi.
Jumla sh 1000/= kwa siku.
Sasa nauli mpya ni sh 700/= kwenda,
Na sh 700/= kurudi.
Jumla sh 1400/=kwa siku.
Tofauti ya sh 400/= kwa siku.
Huwa naenda shuleni siku tano kwa wiki moja.
Ongezeko la sh 400/= kwa siku maana yake ni ongezeko la sh 2000/= kwa wiki.
Kwa gharama za zamani za sh 1000/=kwa siku
Ni wazi NIMEPOTEZA uwezo wa kwenda shuleni kwa siku 2 kaman nitalipa sh 1400/=kwa siku.
Hisabati
5000/1400=3....
(Siku 3)
Sasa una uwezo mkubwa zaidi wa kupiga kura ya hapana kwa CCM. Fanya hivyo.
 
Waalimu kwangu mimi ni wabinafsi na wasaliti wakubwa, wao ndio wanabeba kura za wizi na wafanikishaji wa chaguzi hewa, karma inawarudia na bado
 
Sasa hapo unaweza ukaona kwa nini walimu wetu walikuwa wanatuuzia, pipi na ubuyu darasani, jiongeze.

Mimi nakumbuka kuna mwalimu wetu alikuwa anauza pipi zake darasani, anayepiga kelele au kutofanya H/W, badala ya kumchapa anamwambia anunue pipi ili amsamehe[emoji16]
Huu sio ushauri ni mfano tu[emoji3]
 
Pole kwa changamoto unayoipitia.

Ila serikali pia inabidi iangalie namna ya kumthamini mwalimu kulingana na kazi muhimu anayoifanya.
 
Mimi ni mwalimu
Kwa kupanda kwa nauli NIMEPOTEZA UWEZO wa kwenda shuleni kufundisha kwa siku mbili.
Naomba ushauri.
Ufafanuzi:-
Nauli ya bajaji ilikuwa sh 500/= kwenda,
Na sh 500/= kurudi.
Jumla sh 1000/= kwa siku.
Sasa nauli mpya ni sh 700/= kwenda,
Na sh 700/= kurudi.
Jumla sh 1400/=kwa siku.
Tofauti ya sh 400/= kwa siku.
Huwa naenda shuleni siku tano kwa wiki moja.
Ongezeko la sh 400/= kwa siku maana yake ni ongezeko la sh 2000/= kwa wiki.
Kwa gharama za zamani za sh 1000/=kwa siku
Ni wazi NIMEPOTEZA uwezo wa kwenda shuleni kwa siku 2 kaman nitalipa sh 1400/=kwa siku.
Hisabati
5000/1400=3....
(Siku 3)
Kama kwenda na Bajaj ni 500 basi huo umbali wa nusu saa kwa miguu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Acha kuwadhalilisha walimu wewe.Kumbuka wamekufundisha ukajua kusoma na kuandika.

Utapata laana.

Hata hivyo walimu hawana ugumu wa maisha kama ambavyo unajaribu kuandika ujinga wako hapa.Wana maisha mazuri na uchumi mzuri tu.
Siyo ujinga, hujui hali halisi ilivyo.ni hesabu ya inayo tembea nchini,au mpaka uambiwe hata mwanafunzi amepoteza uwezo wake wa kwenda shuleni kwa siku kadhaa?
Yaonekana mwenzetu uko vizuri.hongera.
Expand your brain.
 
Pole kwa changamoto unayoipitia.

Ila serikali pia inabidi iangalie namna ya kumthamini mwalimu kulingana na kazi muhimu anayoifanya.
Kweli mkuu kazi kuanzia saa moja asubuhi mpaka nne usiku unasahihisha madaftari ya wanafunzi muda wa kutafuta kipato cha ziada ( "second line income") hatuna.
 
Back
Top Bottom