Vivax
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 520
- 184
Mimi ni mwalimu
Kwa kupanda kwa nauli NIMEPOTEZA UWEZO wa kwenda shuleni kufundisha kwa siku mbili.
Naomba ushauri.
Ufafanuzi:-
Nauli ya bajaji ilikuwa sh 500/= kwenda,
Na sh 500/= kurudi.
Jumla sh 1000/= kwa siku.
Sasa nauli mpya ni sh 700/= kwenda,
Na sh 700/= kurudi.
Jumla sh 1400/=kwa siku.
Tofauti ya sh 400/= kwa siku.
Huwa naenda shuleni siku tano kwa wiki moja.
Ongezeko la sh 400/= kwa siku maana yake ni ongezeko la sh 2000/= kwa wiki.
Kwa gharama za zamani za sh 1000/=kwa siku
Ni wazi NIMEPOTEZA uwezo wa kwenda shuleni kwa siku 2 kaman nitalipa sh 1400/=kwa siku.
Hisabati
5000/1400=3....
(Siku 3)
Kwa kupanda kwa nauli NIMEPOTEZA UWEZO wa kwenda shuleni kufundisha kwa siku mbili.
Naomba ushauri.
Ufafanuzi:-
Nauli ya bajaji ilikuwa sh 500/= kwenda,
Na sh 500/= kurudi.
Jumla sh 1000/= kwa siku.
Sasa nauli mpya ni sh 700/= kwenda,
Na sh 700/= kurudi.
Jumla sh 1400/=kwa siku.
Tofauti ya sh 400/= kwa siku.
Huwa naenda shuleni siku tano kwa wiki moja.
Ongezeko la sh 400/= kwa siku maana yake ni ongezeko la sh 2000/= kwa wiki.
Kwa gharama za zamani za sh 1000/=kwa siku
Ni wazi NIMEPOTEZA uwezo wa kwenda shuleni kwa siku 2 kaman nitalipa sh 1400/=kwa siku.
Hisabati
5000/1400=3....
(Siku 3)