Nimepoteza uwezo wa kwenda shuleni kufundisha baada ya nishati ya mafuta kupanda

Nyie walimu mnatakiwa mpigike hadi muwe na akili.
Mmewadhulumu Watanzania miaka nenda miaka rudi.
Majambazi na vibaka wa kura zetu.
 
Nyie walimu mnatakiwa mpigike hadi muwe na akili.
Mmewadhulumu Watanzania miaka nenda miaka rudi.
Majambazi na vibaka wa kura zetu.
Siyo kweli ingieni madarakani na msiwatumie walimu.
Walimu ni waaminifu kuliko uavyofikiri.
Unataka kuniambia wanaofaulu mitihani wote ni feki , na wanaofeli ndiyo wako sawa?
Usipomuamini mwalimu utamwamini nani?
Mkiingia madarakani chukueni wanaj.... wasimamie uchaguzi.
 
Nyie walimu mnatakiwa mpigike hadi muwe na akili.
Mmewadhulumu Watanzania miaka nenda miaka rudi.
Majambazi na vibaka wa kura zetu.
Yaani mkuu wewe umeongea unavyotakikana, waalimu hawa sio wa kuwaonea huruma, ni mbwa mwitu kwenye ngozi za kondoo, wanapiga piga kelele sasa baada ya kulambishwa pipi
 
Pole mwalimu. Anza kufanya mazoezi ya lazima ya kutembea kwa miguu. Utapata shida mwanzoni, lakini baadaye utazoea.
 
ulikosa kusema ccm ili uzi wako ukamilike maana mood wa JF ni ccm kindaki .
 
Haya ndio maisha, hii changamoto ya nauli inawakumva watu wengi. Tafuta suluhisho la haraka ili hali isiwe mbaya zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…