Nimerejea JF baada ya kuupitia mtandao wa X (Twitter)

Nimerejea JF baada ya kuupitia mtandao wa X (Twitter)

Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara,

Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani Twitter,
Nilikuwa nasikia sikia tu kwamba huo mtandao ni ule wa watu wenye Akili kubwa kubwa sana Yani great thinker,

Na hichi ndicho nilichogundua,

Ule mtandao wa X ni mtandao wa kitoto na kipashikuna kuliko mtandao wwoote hakuna Cha great thinker wala nini tofauti Yao ni Kwa sababu ya viongozi wakubwa wakubwa wamejaa kule ,na wenyewe hakuna chochote Cha maana wanacho tweet zaidi ya tweet za Rambi Rambi ,pongezi na kujimwambafai,

Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,

Kuna hao wanaharakati wa vyama pinzani huko X,wanajikuta Wana hoja kuliko wengine ,hawataki kupingwa na huku Kila siku wakihubiri uhuru wa kujieleza,
Wakitoa hoja zao ukiwapa fact tegemea block na kutukanwa ,matusi kwao ndio kimbilio na wafuasi wao walivyo vilaza wao Kila kitu ndio,

Kuna wasimbe huko kazi zao kushauri wenzao kukataa ndoa na wakati wenyewe wanazitaka ,

Kuna hizo pisi zao sasa wenyewe ndio wanaziona Kali lakini hamna kitu ,
JF Kuna mali safi mara kumi kuzidi huko X

Yaani X (Twitter) ni mtandao wa kawaida sana tofauti yake ni ule umaarufu tu lakini ni useless

Nimerudi zangu JF sehemu pekee inayoruhusu mawazo huru bila kujari cheo wala wadhifa wa mtu.


Cc Zero IQ
Mkuu wewe kipaji chako ni kuchakata mbususu na kuchakata chipsi, X is too big for you man, unapaponda sababu hakuna sehemu ya kula tunda kimasihara kama kwa ricky boy ? X worth $50 billion na hii value haiji tu mzee Yan value yake sio ya kutungatunga kama unatunga mistari ya profesa J ya ndio mzee, Run jaribu kumuheshimu Jack Dorsey kidogo basii
 
Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara,

Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani Twitter,
Nilikuwa nasikia sikia tu kwamba huo mtandao ni ule wa watu wenye Akili kubwa kubwa sana Yani great thinker,

Na hichi ndicho nilichogundua,

Ule mtandao wa X ni mtandao wa kitoto na kipashikuna kuliko mtandao wwoote hakuna Cha great thinker wala nini tofauti Yao ni Kwa sababu ya viongozi wakubwa wakubwa wamejaa kule ,na wenyewe hakuna chochote Cha maana wanacho tweet zaidi ya tweet za Rambi Rambi ,pongezi na kujimwambafai,

Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,

Kuna hao wanaharakati wa vyama pinzani huko X,wanajikuta Wana hoja kuliko wengine ,hawataki kupingwa na huku Kila siku wakihubiri uhuru wa kujieleza,
Wakitoa hoja zao ukiwapa fact tegemea block na kutukanwa ,matusi kwao ndio kimbilio na wafuasi wao walivyo vilaza wao Kila kitu ndio,

Kuna wasimbe huko kazi zao kushauri wenzao kukataa ndoa na wakati wenyewe wanazitaka ,

Kuna hizo pisi zao sasa wenyewe ndio wanaziona Kali lakini hamna kitu ,
JF Kuna mali safi mara kumi kuzidi huko X

Yaani X (Twitter) ni mtandao wa kawaida sana tofauti yake ni ule umaarufu tu lakini ni useless

Nimerudi zangu JF sehemu pekee inayoruhusu mawazo huru bila kujari cheo wala wadhifa wa mtu.


Cc Zero IQ
Sema umeipumzisha id yako nyingine umeibuka na hii 😹😹😹
 
Yupo sahihi, kipindi cha nyuma X na Jf ilikuwa na sifa ya mitandao wa "wasomi". Kwasasa X ni tik tok iliyozubaa.

Mara ya mwisho X kuwa ya maana ni 2017 kurudi nyuma kabla wakina Madenge kuanza post upumbavu.
Mkuu hapo tatizo liko na wewe , sababu ya watu watu uliowa follow wewe ndio unapata content hizo hizo, kwahiyo X unapata unachokitaka, ukiowafolo wapuuz, utapata tu habari zao X algorithm works by analyzing user interactions to understand their preferences, prioritizing content from accounts that a user frequently engages with, including likes, retweets, replies, and follows, essentially showing them more content similar to what they've interacted with positively in the past. So you go around mingling stupid stuffs ile platform itakuletea hayo matakataka mpaka siku ubadilike uanze kufungua page za maana....
 
Ila eh mtoa mada mbona sijaelewa heading kwaio Amna Ata ulichojifunza x uko 😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Kupata site za ngono bila vpn na koneksheni Kwa wakati ,hakuna jipya
 
Mkuu hapo tatizo liko na wewe , sababu ya watu watu uliowa follow wewe ndio unapata content hizo hizo, kwahiyo X unapata unachokitaka, ukiowafolo wapuuz, utapata tu habari zao X algorithm works by analyzing user interactions to understand their preferences, prioritizing content from accounts that a user frequently engages with, including likes, retweets, replies, and follows, essentially showing them more content similar to what they've interacted with positively in the past. So you go around mingling stupid stuffs ile platform itakuletea hayo matakataka mpaka siku ubadilike uanze kufungua page za maana....
Nitajie nimfolow nani ili nipate vya uhakika,Madenge ,spana konk ,tajiri la kihaya ,ney poul ,trump au huyo Elon tajiri anaepost post Kila content
 
Shida umeenda ukafollow wapashkuna. Twitter ni tamu sana ila kama hao wapuuzi ulioengage nao ulitakiwa sasa uengage na watu wa maana. Uongee hata ngeli kidogo.
Bila hivo. Utaingia uko ukutane demu mmoja wapwa wote wanamuona mkali sijui nono sijui coco.
Repost zote unakuta esir.😂😂😂😂.
Futa fungua nyingine. Engage na sound minds
 
Mkuu hapo tatizo liko na wewe , sababu ya watu watu uliowa follow wewe ndio unapata content hizo hizo, kwahiyo X unapata unachokitaka, ukiowafolo wapuuz, utapata tu habari zao X algorithm works by analyzing user interactions to understand their preferences, prioritizing content from accounts that a user frequently engages with, including likes, retweets, replies, and follows, essentially showing them more content similar to what they've interacted with positively in the past. So you go around mingling stupid stuffs ile platform itakuletea hayo matakataka mpaka siku ubadilike uanze kufungua page za maana....
Mkuu pengine upo sahihi kwa watumiaji wengi lakini naomba nijitenganisha kati ya hao, nina account X kama mbili zote kwa pamoja sidhani kama zimefikisha followers na follows 10, nazungumza sio kwasababu ya wale ninaowafuata ila naona kuna namna X imeshuka viwango ambavyo wengi ya watumiaji tuliojiunga miaka 10+ nyuma sio sawa na kipindi hiki, naweza sema pia ni sawa na hata hapa Jf tulioanza fuatilia miaka 10+ nyuma tunaona utofauti mkubwa na hii ya sasa
 
Huku pascal mayala kachafua Jukwaa la JF kujipa cheo cha kutuwakilisha wakati tujampa cheo.Wana JF tulaani tukio la Mayala =njaa au Mayala = fisi wa simiyu
 
Shida umeenda ukafollow wapashkuna. Twitter ni tamu sana ila kama hao wapuuzi ulioengage nao ulitakiwa sasa uengage na watu wa maana. Uongee hata ngeli kidogo.
Bila hivo. Utaingia uko ukutane demu mmoja wapwa wote wanamuona mkali sijui nono sijui coco.
Repost zote unakuta esir.😂😂😂😂.
Futa fungua nyingine. Engage na sound minds
Nitajie hao wa kuengage nao ,Yule mlopokaji elon au hao watoa Tweet za Rambi Rambi na pongezi Kila kukicha
 
x.jpg
 
Back
Top Bottom