Nimerejea JF baada ya kuupitia mtandao wa X (Twitter)

Nimerejea JF baada ya kuupitia mtandao wa X (Twitter)

Nitajie nimfolow nani ili nipate vya uhakika,Madenge ,spana konk ,tajiri la kihaya ,ney poul ,trump au huyo Elon tajiri anaepost post Kila content
twita celeb wa bongo content zao hata mimi sizikubali, labda wadau wa kilimo na ufugaji.
Ila twita ipe credit kwa siasa za dunia. Uchambuzi mwingi kama sio wote wa vita hapa JF unatoka twita.
Mnyonge mnyongeni
 
Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara,

Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani Twitter,
Nilikuwa nasikia sikia tu kwamba huo mtandao ni ule wa watu wenye Akili kubwa kubwa sana Yani great thinker,

Na hichi ndicho nilichogundua,

Ule mtandao wa X ni mtandao wa kitoto na kipashikuna kuliko mtandao wwoote hakuna Cha great thinker wala nini tofauti Yao ni Kwa sababu ya viongozi wakubwa wakubwa wamejaa kule ,na wenyewe hakuna chochote Cha maana wanacho tweet zaidi ya tweet za Rambi Rambi ,pongezi na kujimwambafai,

Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,

Kuna hao wanaharakati wa vyama pinzani huko X,wanajikuta Wana hoja kuliko wengine ,hawataki kupingwa na huku Kila siku wakihubiri uhuru wa kujieleza,
Wakitoa hoja zao ukiwapa fact tegemea block na kutukanwa ,matusi kwao ndio kimbilio na wafuasi wao walivyo vilaza wao Kila kitu ndio,

Kuna wasimbe huko kazi zao kushauri wenzao kukataa ndoa na wakati wenyewe wanazitaka ,

Kuna hizo pisi zao sasa wenyewe ndio wanaziona Kali lakini hamna kitu ,
JF Kuna mali safi mara kumi kuzidi huko X

Yaani X (Twitter) ni mtandao wa kawaida sana tofauti yake ni ule umaarufu tu lakini ni useless

Nimerudi zangu JF sehemu pekee inayoruhusu mawazo huru bila kujari cheo wala wadhifa wa mtu.


Cc Zero IQ
Welcome back Zero IQ
 
Kama lilivyo jina lako linalo represent upeo wako mdogo wa akili sishangai kukuona ukisema X ni mtandao wa kitoto.

X is too big 4 your insanity
Japo ameandika mengi ila ukweli katika andiko lake upo,X umekuwa mtandao wa hovyo,mapicha ya ngono yametapakaa,hakuna tena reasoning kule zaidi ya kufuata upepo,hakuna adabu wala heshima,mtu anayetukana ndiye anaonekana mjuaji........X kuna ujinga mwingi sana
 
Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara,

Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani Twitter,
Nilikuwa nasikia sikia tu kwamba huo mtandao ni ule wa watu wenye Akili kubwa kubwa sana Yani great thinker,

Na hichi ndicho nilichogundua,

Ule mtandao wa X ni mtandao wa kitoto na kipashikuna kuliko mtandao wwoote hakuna Cha great thinker wala nini tofauti Yao ni Kwa sababu ya viongozi wakubwa wakubwa wamejaa kule ,na wenyewe hakuna chochote Cha maana wanacho tweet zaidi ya tweet za Rambi Rambi ,pongezi na kujimwambafai,

Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,

Kuna hao wanaharakati wa vyama pinzani huko X,wanajikuta Wana hoja kuliko wengine ,hawataki kupingwa na huku Kila siku wakihubiri uhuru wa kujieleza,
Wakitoa hoja zao ukiwapa fact tegemea block na kutukanwa ,matusi kwao ndio kimbilio na wafuasi wao walivyo vilaza wao Kila kitu ndio,

Kuna wasimbe huko kazi zao kushauri wenzao kukataa ndoa na wakati wenyewe wanazitaka ,

Kuna hizo pisi zao sasa wenyewe ndio wanaziona Kali lakini hamna kitu ,
JF Kuna mali safi mara kumi kuzidi huko X

Yaani X (Twitter) ni mtandao wa kawaida sana tofauti yake ni ule umaarufu tu lakini ni useless

Nimerudi zangu JF sehemu pekee inayoruhusu mawazo huru bila kujari cheo wala wadhifa wa mtu.


Cc Zero IQ
Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,😂😂😂
 
Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara,

Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani Twitter,
Nilikuwa nasikia sikia tu kwamba huo mtandao ni ule wa watu wenye Akili kubwa kubwa sana Yani great thinker,

Na hichi ndicho nilichogundua,

Ule mtandao wa X ni mtandao wa kitoto na kipashikuna kuliko mtandao wwoote hakuna Cha great thinker wala nini tofauti Yao ni Kwa sababu ya viongozi wakubwa wakubwa wamejaa kule ,na wenyewe hakuna chochote Cha maana wanacho tweet zaidi ya tweet za Rambi Rambi ,pongezi na kujimwambafai,

Kule X Kuna hao mabroo wao,wenyewe wanajikuta Wana Akili kuliko wengine ,lakini kinyume chake ni utopolo tu ,
Wao tweet zao ata wakipost nukta wanasifiwa makoment kibao,ukiwagusa kidogo tu wanapandisha sukari,
Nilichogundua ni waoga kuliko Ata nyoka wanatembeza block kama njugu ,

Kuna hao wanaharakati wa vyama pinzani huko X,wanajikuta Wana hoja kuliko wengine ,hawataki kupingwa na huku Kila siku wakihubiri uhuru wa kujieleza,
Wakitoa hoja zao ukiwapa fact tegemea block na kutukanwa ,matusi kwao ndio kimbilio na wafuasi wao walivyo vilaza wao Kila kitu ndio,

Kuna wasimbe huko kazi zao kushauri wenzao kukataa ndoa na wakati wenyewe wanazitaka ,

Kuna hizo pisi zao sasa wenyewe ndio wanaziona Kali lakini hamna kitu ,
JF Kuna mali safi mara kumi kuzidi huko X

Yaani X (Twitter) ni mtandao wa kawaida sana tofauti yake ni ule umaarufu tu lakini ni useless

Nimerudi zangu JF sehemu pekee inayoruhusu mawazo huru bila kujari cheo wala wadhifa wa mtu.


Cc Zero IQ
Mkuu sio kwamba umekosa followers , maana kule X kupata hata wafuasi 10 sio kazi ndogo
 
Shida umeenda ukafollow wapashkuna. Twitter ni tamu sana ila kama hao wapuuzi ulioengage nao ulitakiwa sasa uengage na watu wa maana. Uongee hata ngeli kidogo.
Bila hivo. Utaingia uko ukutane demu mmoja wapwa wote wanamuona mkali sijui nono sijui coco.
Repost zote unakuta esir.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Futa fungua nyingine. Engage na sound minds
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom