Hakukua na shida kwa kua ni tanzania na wangeishi watanzania.Chato ingekuwa Makao makuu ya nchi , I swear [emoji16][emoji16][emoji16]
Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!Yapo mengi mkuu. Barabara nyingi kajenga, kanunua ndege nane na kaweka msingi wa manunuzi ya ndege nyingine.
Kuna ubaya gani?Chato ingekuwa Makao makuu ya nchi , I swear [emoji16][emoji16][emoji16]
Na mwamba anarejea uraiani soon, ila akirudi asianze mikwara yake ya kumtisha Samia hahaha...Jitoe wewe mfuasi wake watanzania tuliobaki tunashukuru Mungu utawala wa Haki na Sheria umerejea tena.
Nini hatima ya ile miradi ya chato?Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Bashiru na Polepole ni vyuma hasa! Hivi vyuma ni zaidi ya MaguUsijali wapo wanafunzi wake kina sabaya makonda pole pole na bashiru
Kilevi gani umetumia?Mungu Fundi sana
Hizo takwimu ulizitoa wapi?Masikitiko ya watu zaidi ya mil 50 mungu aliyasikia na akajibu kwa mda wake sasa endelea kupoteza bando kwa kufanya ibada za wafu
Mkuu unaota au umeshaamka?. Interchange ya ubungo na ile ya tazara, barabara ya bagamoyo kutokea tegeta mpaka bagamoyo. Huko bara ni nyingi mno mpaka hazina idadi.Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!
Asante Mungu kwa kutuondolea rais katili, muuaji, mjinga, kichaa, mbinafsi na mpenda misifa. Tunakuomba utupushe kuwa na kiongozi mnafiki anayejifanya mchamungu mchana ila usiku ni shetani mkuu, amenHayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
.Kilevi gani umetumia?
π·πππππ ππ ππππ ππππ ππππππππ,ππππππ ππππ πππππ,ππππ πππππ πππππππ ππ ππππ π πππ ππππ ππππ! π΄πππππ πππππππππππ ππππ ππππππ π΄πππππππ π ππππππππ ππππππ π΅πππ πππ!Alikuambia kuwa Wewe utaishi Milele?
Utakuwa umewekewa gongo ukadhani maji
Interchange ilikuwa ya Kikwete, na hela ilishatoka ikabidi ajibaraguze humohumo, na hiyo barabara ilikuwa ya Kikwete pia, Taja mradi ambao aliuanzisha na ukaisha ndani ya miaka mi5 yake ya kwanza....Mkuu unaota au umeshaamka?. Interchange ya ubungo na ile ya tazara, barabara ya bagamoyo kutokea tegeta mpaka bagamoyo. Huko bara ni nyingi mno mpaka hazina idadi.
Majizi siku zote huwa hayampendi aliyekuwa Jemedari wetu, Rais wetu kipenzi, mheshimiwa dk John Pombe Joseph Magufuli.Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!
Pole mkuuHayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Toka afariki umeiba kiasi gani?π·πππππ ππ ππππ ππππ ππππππππ,ππππππ ππππ πππππ,ππππ πππππ πππππππ ππ ππππ π πππ ππππ ππππ! π΄πππππ πππππππππππ ππππ ππππππ π΄πππππππ π ππππππππ ππππππ π΅πππ πππ!
π±πππ πππππ πππ,ππππ ππππππ πππ πππππ,πππππππ ππππ!
Watanzania kwa unafiki mmeshindikana dunia nzimaa [emoji1787][emoji1787]Kipindi chake hata mitambo ya Tanesco ilikuwa inaogopa kujizima,siku hizi inajizima tu inavyotaka bila hata kutoa taarifa.RIP JIWE.