Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Yapo mengi mkuu. Barabara nyingi kajenga, kanunua ndege nane na kaweka msingi wa manunuzi ya ndege nyingine.
Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!
 
Jitoe wewe mfuasi wake watanzania tuliobaki tunashukuru Mungu utawala wa Haki na Sheria umerejea tena.
Na mwamba anarejea uraiani soon, ila akirudi asianze mikwara yake ya kumtisha Samia hahaha...
 
Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.

Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.

Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.

Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Nini hatima ya ile miradi ya chato?
 
Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!
Mkuu unaota au umeshaamka?. Interchange ya ubungo na ile ya tazara, barabara ya bagamoyo kutokea tegeta mpaka bagamoyo. Huko bara ni nyingi mno mpaka hazina idadi.
 
Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.

Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.

Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.

Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Asante Mungu kwa kutuondolea rais katili, muuaji, mjinga, kichaa, mbinafsi na mpenda misifa. Tunakuomba utupushe kuwa na kiongozi mnafiki anayejifanya mchamungu mchana ila usiku ni shetani mkuu, amen
 
Kilevi gani umetumia?
.
IMG_20211030_122416.jpg
 
Alikuambia kuwa Wewe utaishi Milele?
𝑷𝒂𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒏𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒘𝒐𝒕𝒆 𝒕𝒖𝒕𝒂𝒌𝒖𝒇𝒂,𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒖𝒍𝒆 𝒃𝒘𝒂𝒏𝒂,𝒌𝒖𝒇𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒊𝒎𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝒇𝒂𝒊𝒅𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒏𝒄𝒉𝒊 𝒚𝒆𝒕𝒖! 𝑴𝒖𝒔𝒊𝒃𝒂 𝒂𝒍𝒊𝒔𝒉𝒂𝒕𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒉𝒂𝒌𝒖𝒏𝒂 𝑴𝒂𝒉𝒂𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒚 𝒌𝒖𝒎𝒇𝒖𝒏𝒈𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝑵𝒄𝒉𝒊 𝒉𝒊𝒊!
𝑱𝒊𝒘𝒆 𝒌𝒂𝒐𝒏𝒅𝒐𝒌𝒂,𝒘𝒂𝒍𝒆 𝒎𝒊𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒎𝒕𝒖 𝒘𝒐𝒐𝒕𝒆,𝒎𝒂𝒕𝒖𝒎𝒃𝒐 𝒎𝒐𝒕𝒐!
 
Mkuu unaota au umeshaamka?. Interchange ya ubungo na ile ya tazara, barabara ya bagamoyo kutokea tegeta mpaka bagamoyo. Huko bara ni nyingi mno mpaka hazina idadi.
Interchange ilikuwa ya Kikwete, na hela ilishatoka ikabidi ajibaraguze humohumo, na hiyo barabara ilikuwa ya Kikwete pia, Taja mradi ambao aliuanzisha na ukaisha ndani ya miaka mi5 yake ya kwanza....
 
Chief barabara ipi jamaa kajenga? Nitajie hata 2 tu (Siyo za JK), kwenye ndege anastahili sifa, Kwa sasa jina letu linapaa kila sehemu kupitia hizi ndege!
Majizi siku zote huwa hayampendi aliyekuwa Jemedari wetu, Rais wetu kipenzi, mheshimiwa dk John Pombe Joseph Magufuli.
 
Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.

Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.

Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.

Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Pole mkuu
 
𝑷𝒂𝒎𝒐𝒋𝒂 𝒏𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒘𝒐𝒕𝒆 𝒕𝒖𝒕𝒂𝒌𝒖𝒇𝒂,𝒍𝒂𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒚𝒖𝒍𝒆 𝒃𝒘𝒂𝒏𝒂,𝒌𝒖𝒇𝒂 𝒌𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒊𝒎𝒆𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒊 𝒇𝒂𝒊𝒅𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒏𝒄𝒉𝒖 𝒚𝒆𝒕𝒖! 𝑴𝒖𝒔𝒊𝒃𝒂 𝒂𝒍𝒊𝒔𝒉𝒂𝒕𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒉𝒂𝒌𝒖𝒏𝒂 𝑴𝒂𝒉𝒂𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒚 𝒌𝒖𝒎𝒇𝒖𝒏𝒈𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝑵𝒄𝒉𝒊 𝒉𝒊𝒊!
𝑱𝒊𝒘𝒆 𝒌𝒂𝒐𝒏𝒅𝒐𝒌𝒂,𝒘𝒂𝒍𝒆 𝒎𝒊𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒎𝒕𝒖 𝒘𝒐𝒐𝒕𝒆,𝒎𝒂𝒕𝒖𝒎𝒃𝒐 𝒎𝒐𝒕𝒐!
Toka afariki umeiba kiasi gani?
 
Kutaka kujua jamaa yako alikuwa wa hovyo ni hii video.... And watu kama hawa akawa anawapandisha vyeo, asingekufa leo hii huyu angekuwa DC wa Ilala
 
Back
Top Bottom