Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Halafu unakuta mtu Kama wewe eti ni University graduate, yaani Elimu imekufa inatoa vijana mabazazi tupu.
Nchi huimarika kwa sababu ya katiba nzuri siyo kwa sababu ya mtu mmoja, poor reasoning capacity
Ni graduate kabisa, ila jua kuongoza nchi sio lelele mama kama unavyoongoza familiya yako.
 
Wewe dogo huwa unachelewa sana kujua mbivu na mbichi, inawezekana ubongo wako una load slowly sana
 
Dkt. John Pombe Magufuli ni mtu ambaye bila hata kujiuliza uliza alitaka taifa hili lifike sehemu fulani nzuri.
Alikuwa straight forward, Kama ni A Basi alitaka iwe A, hali kadharika Kama ni B Basi iwe B, siyo haya ya kwamba tumeongeza tozo kwa ajiri ya huduma za elimu na afya mara hapo hapo hii hela ya Covid-19 nayo ipo kwenye elimu na afya!!!

RIP JPM
 
Sikuwahi kumpenda JPM, lakini honestly ilivyotangazwa usiku ule kuwakafariki machozi yalinitoka, nikakaa nje karibia saa nzima. Niliona kabisa yale magenge ya majambazi serikalini na chamani yayakavyorudi kwa nguvu.
Kila mtu ana mapungufu yake ila taasisi ya urais ni ngumu alijitahidi kwa uwezo wake
 
Vizuri kijana unaelewa mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…