Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Anakosea sana kuwatoa watu wenye weledi, uwezo, wasiokuwa na masihara.

Waziri wa maji, umeme na nishati, walifanya kazi kubwa sana. Wametupwa huko kisa walikuwa karibu na Marehemu.

Kiongozi mpya unabidi utumie uzoefu ulioukuta vizuri. Hakuna sababu kuanza upya na watu wapya wasio na uzoefu bila sababu za msingi.
 
Watu tutabisha tu ila kusema kweli Magufuli was a bold leader, ni aina ya viongozi ambao ni adimu kupatikana kutokana na kuwa na sifa za kipekee.....
 
Wasukuma mna tabu sana. Nani asiye na dini nchi hii ambaye alikuwa rais?
Unakosea sana kuleta ukabila. Kuna wasukuma waislamu, wakristo, maskini, wananchi wengi na wenye dini za asili.

Wengi wapo kwenye baraza la Mawaziri, walinzi wakuu wa rais.

Mlinzi mkuu wake ni huyo msukuma, tunafanyaje?

Kadi ya ukabila is a losing game in TZ.

Tunawabagua wasukuma, wanaume, watu wa Magufuli, wakristo, wapinzani.

Tunabaki na nani?
 
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, mradi wa SGR wa mwanza Isaka kuanzia mchakato wa zabuni mpaka mkataba wake umesainiwa Chato JPM akishuhudia, hata advance payment ya mobilization wamelipwa JPM akiwa hai, mama kaweka Jiwe la msingi how comes useme mradi kauanzisha mama?
 
Ni kweli hakuna ushahidi kwamba Maraisi wa Haiti, Tanzania, Ivory’s Coast, Eswantini, and Burundi waliuwawa kwa kukataa chanjo za COVID-19.

Marais wangapi duniani wamekufa kipindi hicho kifupi?

Ila wote waliokufa walikataa chanjo.
Mkuu, naona waongelea kitu kingine na mimi nimeongea kitu kingine kabisa.
 
Mkuu, naona waongelea kitu kingine na mimi nimeongea kitu kingine kabisa.
Nasema hivi wote walikataa chanjo, wote wamekufa kwa muda mfupi, kupitia vyanzo tofauti.

Dunia nzima inashangaa. Kitu kimoja kijachowaunganisha wote walikataa chanjo.

Wanasema za kuambiwa changanya na zako.

 
Jinga sana wewe, safu yenyewe ndio hawa kins Polepole na Bashiru?
 
Mkuu huyu jamaa tulikua hatujui tu Mungu katupa kiongozi bora maaana alidili na majangili yaliyo kwapua mali za masiikini.Leo wanyonge ndo wameanza kukiona cha moto mambo ya kunyanyaswa yanarudi kwa kasi sana mara machinga huku bodaboda na vitu vinapanda bei wala viongozi huwasikii wanakemea wako kimya km hawapo vile inaumiza sana nikimkumbusha ngosha mwenzangu.
 

umenipa idea mkuu,sijui kwanini sikuwa nayo mpaka sasa[emoji24][emoji24][emoji24]
 
bahati mbaya tutamkumbuka mzee tukiwa tunataabika sana.

wewe genta ulikwenda mbali mpaka kukosoa kiingereza,acheni twende na kiingereza sasa.
 
Asante kaka kwakuutambua ukweli nakuusema hadharani sometimes mihemko inatufanya tuwe species tofauti nawenzetu(other human race)na ndyo maana tubaendelea kuwa forever slaves mtu kiongozi Kama Magufuli alikataa kuwa mtumwa kwavitendo pongezi kwake mwendo ameumaliza
 
Nlitofautiana na mwendazake katika nkushindwa kuongeza mishahara kwa miaka yake yote aliyokaa madarakani..kwa Hilo hata aje Nani,.amtetee namna gan lakini sitoweza kumuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…