Tulia wewe mtoto mdogo,Escrow,Meremeta,IPTL,EPA yalikuwa maigizo? Kama wewe sio dhalimu hauwezi kumchukia Magufuli na hiki ndio kipimo chake.Utakuwa upo mbali sana kutoka usawa wa nchi, mbona huku ndani sasa hata tuliokua tunajua kumbe ilikuwa wajinga wa kutupwa. (Nchi hii haijawahi kuwa na mwizi, tapeli, laghai, muongo, na katili wa mfano wake)
Chuma alibeba jukumu la kuwanyoosha.Alitumia style gani au nani aliumia sisi watanzania tuliemchagua tulipendezwa na kazi yake hakuwa na huruma hata kidogo.Mkuu kuwa mkweli, kwenye haya uliyoyaorodhesha ni lipi ambalo halikuwa tabia ya Jiwe? Bila kumwonea wala kumpendelea
What about makonda na Sabaya? Maana walikusanya utajiri kipindi cha huyo mtu kwa njia ovu na hawakufanywa chochote, au hao walikuwa hawagusiki mkuu?Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
Hakua na sifa za kiongozi yule baliHayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Alitisha watu, but hakuwa better kama unavyosema hapa! Ila ameshakufa (Kaweka rekodi rais wa kwanza kufia madarakani), haya na tusonge Mbele sasa, harudi tena! miaka 9 ijayo tunaongozwa na Samia, inawauma baadhi ya watu ila hamna cha kufanya hahahaChuma alibeba jukumu la kuwanyoosha.Alitumia style gani au nani aliumia sisi watanzania tuliemchagua tulipendezwa na kazi yake hakuwa na huruma hata kidogo.
Mwwnyezimungu amrehu John wa Chato 🙏
Nenda kauchukue huo utajiri wao...What about makonda na Sabaya? Maana walikusanya utajiri kipindi cha huyo mtu kwa njia ovu na hawakufanywa chochote, au hao walikuwa hawagusiki mkuu?
Ila yule bibi wa kisiwani nahisi alikuwa mweupe kwenye hii ishu, alishtukizwa tuMuulize Yule Mpare wa Oysterbay Makao na Yule Msukuma wa Upanga Makao kisha malizia na Daktari wake, Bibi Mmoja wa Kisiwani na Mswahili wa Pwani na Manesi Wawili wa Mzena.
Mbona hautaji wezi aliowashughulikia accordingly,wauza madawa ya kulevya,wapora rasilimali za nchi na waonevu wa wanyonge.Au umesahau wahuni kama wakina Papaa Msofe,Ndama na wahuni wengine ambao jela iligeuka kuwa mapumziko yaoMkombozi aliyeunda Genge la wahuni na Majangili kama Sabaya, Musiba, Bashite, Mchungaji Mashimo etc
Atakuwa Mkombozi wa wahuni
Mmhh kulikuwa kuna nnn kwani? Ata dm poa tu mi binafsi ndani kwangu kuna picha yake kwangu He was my heroNa bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.
Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Mkuu Yesu alikufa akiwa na miaka 33,alianza ministry akiwa na miaka 30 akafanya kazi kwa miaka 3 peke ake haikuwa 32.Kwenye Yesu aliyekufa akiwa na miaka 32 tu naye ilikuwa Mungu anajibu masikitiko ya watu gani?
Mkuu natamani niijue hiyo waallah ata uni DM tuMkuu kuhusu Kifo chake kimetokana na nini wala usijali kwani huenda nami kwa niliyoambiwa na Mchongo mzima ulivyokuwa hadi Kufa Kwake nimeanza kuuamini ule Msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO na nina Watu Watatu katika hiyo 'List' huwa nikiwaona tu katika Tv ( Runinga ) huwa nazima kwa Hasira na kubaki Kuwasonya na Kuwatukana tu Kimoyomoyo na Kufuta Machozi ya kutuwahishia Udongoni Chato Mkoani Geita huyu Mwamba wetu.
Alikuambia kuwa Wewe utaishi Milele?
Magufuli alianza siasa akiwa na miaka kama 35 hivi sina uhakika na akafariki akiwa na miaka 61. Kwa nini Mungu alimwacha Magufuli miaka hiyo yote na akamchukua yesu mapema kama kifo ni adhabu itokanayo na kilio cha wanachi?Mkuu Yesu alikufa akiwa na miaka 33,alianza ministry akiwa na miaka 30 akafanya kazi kwa miaka 3 peke ake haikuwa 32.
Mkuu hii nchi haitakuja kupata Rais kama JPM, ngoja tupambane na hali zetu kila mtu apiganie ugali wake.Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Kama ulikuwa na tabia za wizi,utapeli na kuishi kwa ujanja ujanja mjini hakuna jema la Hayati JPM utakaloliona.
It's too early, with time you shall pick things that Magufuli could do best whilst many other Presidents can not. Politicians are crop of people who appreciate people who favour them or what they like.Kwangu mimi JPM JPM alikuwa rais muuaji, mwenye chuki kali sana kwa wanamkosoa na kumpinga, mbinafsi aliyepitiliza kiwango cha kawaida na mungu mtu aliyependa kusujudiwa mpaka na nzi. MUNGU AMEWATENDEA HAKI WATANZANIA.
Dada naomba unisimulie na mimi PMNa bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.
Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Heshimu Mtizamo wangu na Mawazo yangu. Sasa kama unajua kuna nchi nyingi tu zilizoendelea na Unazipenda huenda unatamani hata Raia wao kwanini usiende Kuishi nao huko na ukatuachia tuendelee Kuipambania Tanzania yetu na Kuwalilia akina Nyerere, Mkapa na Dkt. Magufuli?