abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Chai hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibalaka wote Dunia huuawa. Je hujui Tundu alikuwa ni kibalaka? Unakumbuka JPM alivyokamata makinikia bandalini Tundu alisema nini?Propaganda zipi? Lisu hakupigwa risasi 38 na dunia nzima ikiona hapo kuna uwongo.nyie watu mna funza Kwenye bongo zenu siyo bure
Anakusikia????Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Itakua machinga aliyevunjiwa sehemu yake ya biasharaChief unamlilia kwa lipi huyo jamaa yako? Unaweza hata kuorodhesha mawili matatu
Anamlilia kwa umachinga wakeChief unamlilia kwa lipi huyo jamaa yako? Unaweza hata kuorodhesha mawili matatu
Unafiki wanao baadhi yetu, hao wakisoma watakuja kukujibu kadri wanavyoona inafaa.Sasa kama magufuli na samia wanatekeleza ilani moja ni kipi kinachowafanya muone marehemu alifanya kazi kubwa kumzidi samia? Muachage unafiki watanzania
Unakosea na mnakosea sana kulinganisha. Miezi sita na miaka mitano ya solid work, mnakosea kulinganisha.Sasa kama magufuli na samia wanatekeleza ilani moja ni kipi kinachowafanya muone marehemu alifanya kazi kubwa kumzidi samia? Muachage unafiki watanzania
Mimi nipo siku nyingi hapa, tulipiga sana kelele kwamba nchi hii inahitaji raisi Dikteta na kwamba JK alikuwa raisi dhaifu.
Kilichonishangaza ni pale nilipomsikia JK alisema "nimewaletea chuma hicho", unafiki wa kiwango cha juu.
, CHUKI YENU ITAWAOZESHWA HAKI YA NANILabda mkombozi wa familia yako
Binafsi nimeipenda style ya samia. Kwanza Ndani ya miezi 6 katoa ajira kwa watanzania zaidi ya elfu 7000 hii itachochea uchumi, ameanzisha ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya mia nne 400 unaendelea nchi nzima, anaendeleza miradi iliyoachwa na mtangulizi wake haijasimama ,ule wa SGR isaka mwanza ameuanzisha yeye, Juzijuzi ametangaza ujenzi wa madarasa elfu 15000 kwangu mimi hii ni hatua kubwa sana kwa miezi 6 sijui miaka mitano atafanya nini. la zaidi nchi ina amani na utulivu ingawa kuna kasoro ndogondogo. Huyu mama namkubali ingawa CCM siipendiUnakosea na mnakosea sana kulinganisha. Miezi sita na miaka mitano ya solid work, mnakosea kulinganisha.
Maono, mipango, utekelazaji, kasi, seriousness, kujiamini bado sana kuanza kulinganisha.
Samia hawezi kuwa zaidi ya Magufuli kwenye style ya Magufuli. (Magufulism)
Samia inabidi awe na style yake tofauti na Magufuli.
Anaweza kuja na style yake akawa vizuri (Samiaism) kuliko yoyote. Hadi sasa bado hajaiweka wazi.
Mkuu si utuambie alikufaje Raisi wetu mpendwaNa bado hujalia siku ukipata mtu wa karibu nae akakusimilia kifo chake, utaenda chato mwenyewe kuona hata kaburi yake.
Siumii kwa nini amekufa maana kila mtu ataonja kaburi, kinachoniuma ni yale mazingira alokufa.
Ni kweli hakuna ushahidi kwamba Maraisi wa Haiti, Tanzania, Ivory’s Coast, Eswantini, and Burundi waliuwawa kwa kukataa chanjo za COVID-19.Mipango yaanzia mbali kwa wale wote waloonekana wakwamishaji.
1. Nkuruzinza ilikuwa onyo.
2. Mkapa asingependa kuona JPM hafiki 2025, hivyo alikuwa kikwazo kwao.
3. Mahiga mshauri mzuri tu wa foreign policy na namna ya kuiongelea
4. Kijazi mpangaji mipango na michoro yote ya miundombinu na JPM akasema huko nje walikataa kutoa ushauri wa kitaalam.
5. Na wengine wa karibu zaidi pale mjengoni.
6. Mzee Madevu akamaliza mchezo baada ya kuona chuma kimekaza hakitaki mipango ile ya kudungwa.
Yeye alikwea pipa kabisa kwenda kulekule eneo la tukio.
7. Mfugale alikuwa ana plan yote ya miundombinu ya nchi hii na alianza kukataa kutoa ushirikiano, hivyo akatangulizwa.
8. Tshekedi mwanzo alisita lakini kama ninyi vijana ni wafuatiliaji basi jikumbushe kisanga kilichotokea baada ya yeye kukataa mpango.
Baadae Tshekedi akasalimu amri na akarudi kwenye mpango na leo wacongo wengi ni nguruwe wa majaribio.
9. M7 yeye akasema umri umeenda hivyo he has nothing to lose akakubali kupokea mpango.
Hii mipango ina kamba ndefu zinazotokea mbali na remote control zote wamegawiwa akina Abdalah Salum pale Kisiju Pwani.
10. PK hana shida ila alitaka kutoa msaada lakini akasita na hata hakuja kwenye maziko kwa kuhofia yale yalotokea mwaka....... pale ........
Hivyo ndovyo hali halisi ilivyo ndugu zangu, ila tunaojitambua tunawasikitikia watanzania walo na maisha ya chini.
Wao ndo watokamuliwa mpaka ifike wakati walie kwa yowe ya ajabu.
Binafsi nimeipenda style ya samia. Kwanza Ndani ya miezi 6 katoa ajira kwa watanzania zaidi ya elfu 7000 hii itachochea uchumi, ameanzisha ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya mia nne 400 unaendelea nchi nzima, anaendeleza miradi iliyoachwa na mtangulizi wake haijasimama ,ule wa SGR isaka mwanza ameuanzisha yeye, Juzijuzi ametangaza ujenzi wa madarasa elfu 15000 kwangu mimi hii ni hatua kubwa sana kwa miezi 6 sijui miaka mitano atafanya nini. la zaidi nchi ina amani na utulivu ingawa kuna kasoro ndogondogo. Huyu mama namkubali ingawa CCM siipendi
Na mimi nakaziaMkuu si utuambie alikufaje Raisi wetu mpendwa
Tanzania imeondokewa na Shetani mwenye umbo la kibinadamu!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Je kama na yeye alikuwa ni msuka mipangoMKUU. Kama Taifa lingejua kwamba Ndugu Magufuli Angelala bila kumaliza muda wake basi tungepindua Meza kwa Maombi lakini tulifichwa mpaka mauti inamkumba mpendwa wetu.
Nikweli ile roho ya uzalendo na uchapa Kazi aliyoijenga Magufuli imeondoka kabisa. Mambo yamekua Yale Yale, Uzembe umerudi kwa kasi yakutisha kabisa.
Mama anajitahidi kujitutumua lakini anazidiwa ujanja na michwa Ambayo ilizibwa pumzi kabisa na Magufuli.
Mbaya zaidi ni mama kupangua safu ya Magufuli Ambayo Angeitumia ingemsaidia sana kuongoza maana tayari safu ile ilikua imesha jua namna nzuri ya kupambana na majangili na wazembe kwenye SERIKALI.